Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,442
- 34,974
Wewe ni jipu ,,,,,,umejiunga tangu 2015 halafu unapost 4 tu.umeonaee na mambo haya ni kwa wanaume wa kibongo kuwawekea masharti wanawake nakujiona wao hawana mapungufu
Wewe ni jipu ,,,,,,umejiunga tangu 2015 halafu unapost 4 tu.umeonaee na mambo haya ni kwa wanaume wa kibongo kuwawekea masharti wanawake nakujiona wao hawana mapungufu
Mmhh ngoja nikohoe kwanza alaf nianze kutafuta gia nzur hapa.Asilimia kubwa iko hivyo ila kwangu ni tofauti mkuu!!! Napenda kujifunza vitu vipya na najifunza mwenyewe kupitia youtube na websites tofauti... Yaani bj nilijifunza mwenyewe na nilipopata boyfriend nikamuomba nijaribishe!!! Alipenda mpaka hakuamini kama sijawai mfanyia mwanaume mwingine kabla!
Yaani ata mautundu mengine bado naendelea kujifunza sasaivi ata kama siko na mtu wa kumfanyia majaribio.
Hahaha na limeiva kweliWewe ni jipu ,,,,,,umejiunga tangu 2015 halafu unapost 4 tu.
Njoo inbox
[emoji106]Eeh apo sawa hakuna kesi
Uko sawa hata mm nikimpata wa dizain hiyo hata morari hushuka kabisa nahisi nimekumbana na malayaKwa taarifa yenu tu akina dada, ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake ambao hawajatumika sana ktk migegedo. Japo ni ngumu kuwatambua lkn wengi wao wamekuwa wakiwapima kwa utundu wao kwenye 6*6.
Mdada unakutana kwa mara ya kwanza kimapenzi na mwanaume X, mwenye malengo ya kuoa. Lkn unakiachia kitumbua chako wazi kama screen. Unavua nguo zote na kubakia na hakuna halafu upo comfortable kana kwamba mnajuana miaka kumi iliyopita. Huyu hatakuoa maana umemtisha na hiyo over confidence ya kuachia nyuchi kiasi hicho.
Wakati wa romance mara moja unakimbilia kunyonya dushe. Mmh! Hii wanaume wengi wanataka lkn si kwa mke wa kuoa. Huolewi hata na wa Kolomije.
Kujigeuza geuza hovyo na kutangulia kutoa mapendekezo ya style.
Kwa kufanya haya yote unampa huyo mwanaume maswali mengi kichwani. Kwamba umahili huo hujazaliwa nao, bali umajifunza. Sasa umefunzwa na nani? Na kwa muda gani? Anaishia kukuweka kwenye kundi la makahaba.
Jifanye mjinga kiasi, punguza maujanja ili ucheze ngoma kwa beat la kawaida.
Kwahiyo tunapangwa folen kama tupo ATM!!?Mkuu wao ni wengi sanaaa tatizo sasa sisi tunapenda wazuriiii ambao ni wachache ndo unakuta dem ana mabwana 5 wote wanamsikiliza ha ha haaa
Mkuu hao ni wa burudani wa ndoa huja otomatiki mkuu walamusiwazekwa kweli sipendi mbwembwe zipitilize
yaan wewe hujawahi kutana na mtu sku ya kwanza anatia njonjo mpaka una jiuliza, was she a porn actress before we met?
Acha tuuu.... Sasa sijui lipi ni lipi..... Haya mambo hayanaga formula chamsingi "be u" akishindwa basiMpo wengi lakini wa ndoa hamna mpo wengi lakini alie single hamna asa sijui ni vipi apo
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa taarifa yenu tu akina dada, ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake ambao hawajatumika sana ktk migegedo. Japo ni ngumu kuwatambua lkn wengi wao wamekuwa wakiwapima kwa utundu wao kwenye 6*6.
Mdada unakutana kwa mara ya kwanza kimapenzi na mwanaume X, mwenye malengo ya kuoa. Lkn unakiachia kitumbua chako wazi kama screen. Unavua nguo zote na kubakia na hakuna halafu upo comfortable kana kwamba mnajuana miaka kumi iliyopita. Huyu hatakuoa maana umemtisha na hiyo over confidence ya kuachia nyuchi kiasi hicho.
Wakati wa romance mara moja unakimbilia kunyonya dushe. Mmh! Hii wanaume wengi wanataka lkn si kwa mke wa kuoa. Huolewi hata na wa Kolomije.
Kujigeuza geuza hovyo na kutangulia kutoa mapendekezo ya style.
Kwa kufanya haya yote unampa huyo mwanaume maswali mengi kichwani. Kwamba umahili huo hujazaliwa nao, bali umajifunza. Sasa umefunzwa na nani? Na kwa muda gani? Anaishia kukuweka kwenye kundi la makahaba.
Jifanye mjinga kiasi, punguza maujanja ili ucheze ngoma kwa beat la kawaida.
Wanaume hamueleweki mnataka nini.
Nilipo litambua hilo tu wala sioni tabau tenaAcha tuuu.... Sasa sijui lipi ni lipi..... Haya mambo hayanaga formula chamsingi "be u" akishindwa basi
Kuna samaki wengi baharini yanini ulazimishe kula papa tuuu
Umemuoa?Hahahahaaaa Nilimpata Wa Aina Hiyo Yaani Kila Mkikutana Mpaka Umn'gan'ganize Lol
Inategemea na barabaraMmhh ngoja nikohoe kwanza alaf nianze kutafuta gia nzur hapa.
Sijui moja itafaa au nitumie ile namba 5!!?
kweli mkuu hata mtoa mada hajawa muongo, ujuaj ukiwa mwingi sana its frighteningMkuu hao ni wa burudani wa ndoa huja otomatiki mkuu walamusiwaze
Manga jamaan upogo miss u kuna mtu ana avatar kama yako anajiita njughu nilijua ni wwNilipo litambua hilo tu wala sioni tabau tena