Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wewe ukishatolewa bikra tu na jitu ambalo si mumeo basi jua kuolewa umekuweka rehani kwa 30%. Hapo una 70%. Halaf sasa ukijifanya ndo unajua sana basi wazee tutakutumia tu kisha tutakudump.
 
Mkuu mambo ya kuwaza mwanamke afanye nini ili aolewe achana nayo...Wewe washughulikie tu...Me huwa nawapenda sana wanawake ambao hawapendagi mambo ya kuolewa.
 
iceman vipi tena au ulitaka nikumiss na ww jana si tulishinda wote kwenye thread ya wachaga
manga sijamuona kalibia mwezi
hahaha
hamna naona unampa maelezo meengi kama una jidefend hivi!! [emoji28] [emoji28] [emoji28]
ndio maana ikabid nicheke
 
Mm n mmoja wapo wa ivyo vigezo, nkiona mwanamke wa aina iyo namhofia
 
Heheh mnakutana watu wazima wote 30plus afu unajiuliza amejifunzia wapi...
Hata kazi hiwawkuna field hehe
 
Nipo bhanaa miss you more
Mmm huyo hapana hafua bado sijamuona ntabadili tu nikimuona
nini shida mbona ulipotea hivi
ata Daby alimuona nikamuuliza Daby akaniambia sio manga mbona manga yupo
 
Back
Top Bottom