Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
Maisha hayana formula maalumu,Bali ni kudra za mwenyezi MunguMkuu sio kwa kunigusa huko
Maisha hayana formula maalumu,Bali ni kudra za mwenyezi MunguMkuu sio kwa kunigusa huko
Matajiri watakugeuza chombo cha matumiziDa Mange alituloga tuote kuolewa na matajiri
Somali kununua handbag baada ya kumaliza target mfano msingi kwani maisha yenyewe nayo ni mafupi.Matajiri watakugeuza chombo cha matumizi
Brand names zipo za bei chee za wachina so tunafanana tu, muhimu kuwekeza kwa ajili ya maisha ya mbeleni
Tumuombee da mange jamani atimize ndoto zake kabla hajafika 50, kuna siku nilicheka alivyopataga vihela vya mchango wakati anamchamba jiwe na DAB ,kapiga picha watoto afu kawatag H&M kwamba ndo kawanunulia nguo uko afu akatag make up yake sijui wapi na pochi lake lile la CL nikasema anahangaika bure wabongo wenyewe wanaoelewa ivyo vitu wachacheDa Mange alituloga tuote kuolewa na matajiri
Tuwe na mawazo ya kupata bwana masikini? Umasikini ni dhambi.Mtoa mada anamaanisha muwe na vipaumbele vya kueleweka. Na vile vile, achaneni na mawazo ya kupata bwana mwenye ghorofa bagamoyo.
Yaani akae huko na umasikini wake akisubiri kupanda na mimiMpate masikini mpande pamoja au mkutane wote level



Mpaka waanze maisha si yatakuwa magofu.Watapangisha watoto wetu wakianza maisha
Wote tukijenga hizi nyumba za kupanga mtafugia kuku? Tuache tudamshi bwana.
Tuwe na mawazo ya kupata bwana masikini? Umasikini ni dhambi.
Watapangisha watoto wetu wakianza maisha
Mpate masikini mpande pamoja au mkutane wote level
Yaani akae huko na umasikini wake akisubiri kupanda na mimi
Simtaki mwenye mawazo mgando hivyo, atanidumazia watoto.
Mpaka waanze maisha si yatakuwa magofu.




Dada atoto bhanaHahaaa, yaani watu tumeikalia mitaji kabisaHatari kila handbag sh 50+elfu

Kabisa kabisaHahaaa, yaani watu tumeikalia mitaji kabisa![]()
![]()
Kwahiyo wewe nimtu wamizawadi2 vipi wewe utoi?Kwa upande wangu ni bora niwe na vitu vichache vya gharama ambavyo najua nitadamshi navyo ata miaka mitano lakini sio kukimbizana na fashion kila siku,Nina miaka 4 sijanunua pochi ninazo tatu na bado zipo kwenye hali nzuri kabisa,nguo na viatu ndo kabisa toka nilivyoshop 2015 mpaka leo huwa napewa zawadi tuu,make up,perfume,products za usoni nazo huwa napewa zawadi kutoka kwa marafiki na ndugu jamani huu ubahili sijui nimeutoa wapi
Tuwe na mawazo ya kupata bwana masikini? Umasikini ni dhambi.
Ndio mapenzi yenyewe hayo.Mtangulize mapenzi na sio tamaa.


nimecheka eti muumini wa mange 
