kanso
Senior Member
- Aug 30, 2017
- 115
- 116
AhahaahahTupooo bana![]()
![]()
AhahaahahTupooo bana![]()
![]()
Ahahahah jamn kanisan banaSubiri kwanza wameenda kudanga. Ngoja warudi
Wanawake wengi wako insta, na mitandao mingine sio jf, wanawake tulionao humu binafsi nawapenda sana japo siwafahamu lkn sio wabinafsi ndio maana wanajitahidi kuchangamana na mitandao ya kiume km hii, pongezi nyingi ziwafikieTatizo wengi wapo mitaa ya Insta humu huwakuti
Tannique unatishasisi ambao hatuna mapochi na mapafyumu ya designers. na tuna ndoto ya kuolewa na wanaojenga Bagamoyo tu comment wapi?lol
Hana maana hiyo sana kwamba lazima uwe na handbag 20,hata zikiwa 6 tu ambazo hazina maana tofauti na ukiwa nazo 3,kazi yake ni hiyo moja. MUHIMU hapo anawaamsha usingizi kwamba jipange kimaisha,ikiwezekana anza kununua uwanja badala hizo handbag na pafyum na kumsubiri mume wa ndoto wa maghorofa ya bagamoyo. Piga kazi jijenge kimaisha mwenyewe,achana na ndotoHandbag 20? Kweli maisha haya...!
Cole Williams nakupinga kwa hili. Binadamu ili uwe na maendeleo unatakiwa kuwa na big expectation ktk maisha yako ili atakama utashindwa fikia malengo hayo angalau uishie sehemu nzuri ya malengoNi vyema sana unavyo washauri wanawake wenzio kiuhalisia zaidi, kuliko kimovies
Na Expectations zinaumizaga sana ni vyema ku lower expectations zetu za kimaisha hii ni kwa wote.![]()
Hata mwenge palikuwa nje ya mjitutajitahidi dada mkubwa kujenga sio kazi ngumu tatizo viwanja milion kadhaa otherwise ujenge nje ya mji kazi unafanya town
Big brainUmeanza kazi mjini mwaka wa tatu unaishi kwenye chumba na sebule. Chumbani una dressing table ina perfume kama zote kuanzia Coco Channel, Christian Dior, Estée Lauder nk, make up za MAC na Iman,
Handbags 20+ kuanzia Michael Kors, Calvin Klain, DKNY ec. Viatu pair 20+ kuanzia high heels, sandals, flats
Ni muumini wa da Mange kuwa utapata mwanaume mwenye pesa, anaejenga ghorofa Bagamoyo.
Unahitaji maombi uamke kutoka kwenye huo usingizi.
I support you sister. The aim it's just to look richer but to be one.
Mimi sijawahi kuota ndotoHana maana hiyo sana kwamba lazima uwe na handbag 20,hata zikiwa 6 tu ambazo hazina maana tofauti na ukiwa nazo 3,kazi yake ni hiyo moja. MUHIMU hapo anawaamsha usingizi kwamba jipange kimaisha,ikiwezekana anza kununua uwanja badala hizo handbag na pafyum na kumsubiri mume wa ndoto wa maghorofa ya bagamoyo. Piga kazi jijenge kimaisha mwenyewe,achana na ndoto
Ninayo mojaHana maana hiyo sana kwamba lazima uwe na handbag 20,hata zikiwa 6 tu ambazo hazina maana tofauti na ukiwa nazo 3,kazi yake ni hiyo moja. MUHIMU hapo anawaamsha usingizi kwamba jipange kimaisha,ikiwezekana anza kununua uwanja badala hizo handbag na pafyum na kumsubiri mume wa ndoto wa maghorofa ya bagamoyo. Piga kazi jijenge kimaisha mwenyewe,achana na ndoto
Nakazia,Umeanza kazi mjini mwaka wa tatu unaishi kwenye chumba na sebule. Chumbani una dressing table ina perfume kama zote kuanzia Coco Channel, Christian Dior, Estée Lauder nk, make up za MAC na Iman,
Handbags 20+ kuanzia Michael Kors, Calvin Klain, DKNY ec. Viatu pair 20+ kuanzia high heels, sandals, flats
Ni muumini wa da Mange kuwa utapata mwanaume mwenye pesa, anaejenga ghorofa Bagamoyo.
Unahitaji maombi uamke kutoka kwenye huo usingizi.
Hahahha umetafsiri kwenye kona hiyo hiyo ndani. Ila ukitoka kwenye hiyo kona utaelewa alichomaanishaKumbe tunatakiwa tuwe na nini ndani ya hiyo miaka mitatu ?
Huyu ni mimi. Na wakati mwingine najutia maisha niiyoishi shule. Kila siku na handbag yake. Viatu vingine unavaaa mara moja vinaharibikia ndani.Hiyo miaka unapigana kuachana na maisha ya kwenye chumba. Hand bags tatu zinatosha, moja ya night out, moja ya kazini na mojavya kanisani. Ikiwezekana ya kazini na kanisani hiyo hiyo mpaka iharibike zipu.
AsanteWanawake wengi wako insta, na mitandao mingine sio jf, wanawake tulionao humu binafsi nawapenda sana japo siwafahamu lkn sio wabinafsi ndio maana wanajitahidi kuchangamana na mitandao ya kiume km hii, pongezi nyingi ziwafikie


Hatari kila handbag sh 50+elfuAisee, ahsante kwa kutushtua kutoka usingizini, tumeamka sana ,tutapiga kazi. Handbags 20?? Hayo ni matumizi mabaya sasa![]()
![]()


