katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Unakuta unawaza mpaka unazimia kununua vitu vya gharama sio nzuri sana ila sio mbaya ili ujiweke safi ila nani mbaya sana kama ni kila saaa ni manunuzi yasio na msingi.
Ila humu watu huwaona wenzao ni malaya laiti wangejua maisha yao halisi wangetokwa na machozi ila humu watu hujiona hujudge kila mtu ila hawajui kitu kimoja shida sio ya kila siku.
Ila humu watu huwaona wenzao ni malaya laiti wangejua maisha yao halisi wangetokwa na machozi ila humu watu hujiona hujudge kila mtu ila hawajui kitu kimoja shida sio ya kila siku.