Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
- Thread starter
- #61
Ukitaka kujua tunavyopoteza pesa andika bei ya perfumes, viatu, handbags unaweza kuwa na milioni 5 - 10 ndani ambayo haikusaidii kimaisha.Huyu ni mimi. Na wakati mwingine najutia maisha niiyoishi shule. Kila siku na handbag yake. Viatu vingine unavaaa mara moja vinaharibikia ndani.
Nimekuja kuguta ikiwa sio too late. Nadhani pia kutokana na majukumu niliyo nayo katika umri wangu yananiweka kwenye mstari. Nikinunua handbag kama haijaharibika zip haitanunuliwa ingine.
Kupendeza sio lazima uwe na kitu kipya kila siku. Na hapo ndio wadada tunafeli. Ukikaka na kitu mwezi tu unakiona 'hudamshi' tena



