Wadada tutete kidogo

Wadada tutete kidogo

Umeanza kazi mjini mwaka wa tatu unaishi kwenye chumba na sebule. Chumbani una dressing table ina perfume kama zote kuanzia Coco Channel, Christian Dior, Estée Lauder nk, make up za MAC na Iman,

Handbags 20+ kuanzia Michael Kors, Calvin Klain, DKNY ec. Viatu pair 20+ kuanzia high heels, sandals, flats

Ni muumini wa da Mange kuwa utapata mwanaume mwenye pesa, anaejenga ghorofa Bagamoyo.

Unahitaji maombi uamke kutoka kwenye huo usingizi.
na kofi moja zito la kurestore settings to factory settings
 
Ongezea na hili... ana tatto sehemu hatarishi... kiasi kwamba inampasa muda mote ake mikao ya hasara hasara ili tatto zake ziweze kuonekana...

Hawatakuelewa... sababu binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...



Cc: mahondaw
hahahaa ...inasikitisha atii
 
Hiyo miaka unapigana kuachana na maisha ya kwenye chumba. Hand bags tatu zinatosha, moja ya night out, moja ya kazini na mojavya kanisani. Ikiwezekana ya kazini na kanisani hiyo hiyo mpaka iharibike zipu.
walai nikimpata mke wa dizaini hiiii hata kama akiwa dini ya Mtume nani sijui nabadilisha namuoa...Hawapo wanawake wa hivyo siku hizi yani asubiri mpk nguo/pochi iishe ndo anunue ingine? Hawapo

Ukitaka kujua hawapo uliza mwanamke mwenye pair MBILI tu za viatu anyooshe mkono..akiwepo akaweka na ushahidi Natoa 50,000 LIVE..
 
Back
Top Bottom