Wadada tusilazimishe ndoa

Wadada tusilazimishe ndoa

Kumbe! kwa hiyo kazi ingekuwa si nzuri jamaa asingesumbuliwa na nyimbo za ndoa kila siku.😀
anasumbuliwaje sasa si unaona hapo ameshasema ana maisha mazuri ana kila kitu
 
Kuna akuolewa na wamatumizi wale wa vichupichupi na chura kubwa maringo, kogo i phone 7, kuku na heinken ni wamatumizi alafu wale wanaokujulia hali ukiugua wanaokushawishi ufuate njia ya Mungu (allah) wanaokushauri maendeleo ndio akina mama wenye nyumba, wamatumizi ndoa mtaziskia redion
hapa kuna cha kujifunza sana
 
Mwanakondoo wangu ohh mahubiri yangu pale kanisani yamekujenge sana mpaka umekua na maneno ya busara na hekima upo juu, ila ongeza kasi ya kutoa sadaka hapo tu ndiyo unapo haribu.
mmh baba paroko kwani mm sina busara sadaka nikiwa nayo nitatoa tu we nivumilie hivi kuja bila sadaka

Cc sakayo ukuje umuone baba paroko leo kaibuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom