hayo mambo ya thread siku nyingine jibu ni ndio au hapanaHa ha ha ha mnaona sasa kwan majibu yangu na mada pendwa hapo juu vina uhusiano kwel.
Ha ha ha sijawa mkali naogopa tu tusje tukavuruga mada yako
Ha ha ha ha anifungulie thread yake kuniuliza hyo mada maana ina majibu meng mnooo
Tena kujipanga nineno pana sanaa, waweza kua juu kiuchumi ila hujajipanga ki saikolojia na ki akimawazo (utayari)
Marriage is readiness.
Sijakwepa mada kabisa ni kwamba naogopa kuvuruga utarabu wako humu ndannashangaa anakwepa
Ndio / Hapanahayo mambo ya thread siku nyingine jibu ni ndio au hapana
Kidogo watie moyo wenzio sio wakiona sofa na kitanda wanajua ndo mwanaume umeshajipanga.

yaphahahhh kumbe tupo wengi
Jaman wadada kuwa vzr kiuchumi sio ndio tayar kuoa, hayo maswal yanatuchosha mtaan yaani kila KE ukimgusia tu unasikia unamalengo gani na mm. Sasa kwan kila KE ataolewa? Wengine watabakiHabari MMU,
Nimekutana na hii story kwenye group letu uko mdada anasema anapendana vizuri na mpenzi wake na kila mtu anaishi kwake wapo kwenye mahusiano kwa muda mrefu sana. Anasema mwanaume ana kazi nzuri sana ana kila kitu ila akimwambia amuoe mwanaume anamwambia hajajipanga na kuna muda wanagombana akianzisha swala la ndoa.
Wadada wenzangu ndoa hailazimishwi kabisa mwanaume mwenyewe atakuja atakwambia baby nahitaji kukuoa naomba unipeleke kwenu. Haya mambo ya kumlazimisha mwanaume mwisho wa siku ndoa haina amani mwanaume kukurudia usiku wa manane ukimuuliza na kupigwa utapigwa.
Kingine kama Mungu kakuandikia wewe ni wa kuolewa utaolewa tu kama ni wa kudanga utadanga tu, tusikate tamaa hata umri ukienda vipi ipo siku tu.
una utani na Shunie sio kidogoNdio / Hapana