Wadada tusilazimishe ndoa

Wanawake wanaoulizia ndoa... Waache waulizie...
Labda kama mwanaume hana dalili wala mpango nae. Kuna wanaume Wana beg kabisa yani Kila kukicha tuoane tuoane khakhaakhaa the world is not fair aseeeh
 
Labda kama mwanaume hana dalili wala mpango nae. Kuna wanaume Wana beg kabisa yani Kila kukicha tuoane tuoane khakhaakhaa the world is not fair aseeeh
Sometimes ni vizuri kukumbusha... Kuna kamsema kanasema...

If get free milk why buy the cow...
 
Siyo kukaza as such but kukumbushia siyo mbaya Super dear.... Kama mimi nakuruhusu nikumbushie hata kila dikaka....
Si mpaka nikukumbushe lakini
Maamuzi yote na mamlaka yapo juu yako siunajua??
 
Shunie...


Waambie na wale ambao wanapata nafasi za kuolewa afu wanajifanya madada-town

Mwisho wanakuja kusumbua kanisani...
 
mbn unatutisha. Swali ni kwamba kwanini Uanzishe mahusiano na MTU ambaye huna malengo naye??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…