Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

😂😂Ila mwanamke kuja kumuandikia Uzi mwanamke mwenzio ni ushamba ningeona busara kwakuwa anamfahamu angemfata tu akamuelekeza kumstiri kheri uyo dada kuliko wew na Hao wanaume wote wamsimulie yeye inatia shaka sana
Ni Mwanahabari na msemaji mkuu wa wanaume jf 🤣🤣🤣🤣😂!


Jf sihamiiiiii
 
Humu ukipiga kizingaa jua tyu lazima nawe utoeeeee papaaaa tena ukikaa vibaya utaliwa hadi matak mbona khakhakhaaaa!! Mahusiano Humu ni two way traffic banaaa ukipiga kizinga nawe wapigwa papaa😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣hebu nipige Basi kizinga
 
🤣🤣🤣🤣🤣hebu nipige Basi kizinga
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣!! Uje unichambe huku🤣🤣😂😂!!
Ila wewe jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Etu Watu wanashinda kutongoza walimu humu jamanii Nimechekaaaa🤣🤣🤣🤣!🙌🙌🙌
 
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣!! Uje unichambe huku🤣🤣😂😂!!
Ila wewe jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Etu Watu wanashinda kutongoza walimu humu jamanii Nimechekaaaa🤣🤣🤣🤣!🙌🙌🙌
nipige kizinga bhana😘
 
nipige kizinga bhana😘
Nikupige wewe Nimerogwaaaa 😂😂😂! Wewe hufaiiiii nuksiiiii unatuchambajeee khaaaa!! twenzetu nikakubless Selfii kulee banaaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Watuu weuweeeeeeeee umenougaaa balaa Umependeza dearrrr you look beautiful OMG 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂
 
Nikupige wewe Nimerogwaaaa 😂😂😂! Wewe hufaiiiii nuksiiiii unatuchambajeee khaaaa!! twenzetu nikakubless Selfii kulee banaaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Watuu weuweeeeeeeee umenougaaa balaa Umependeza dearrrr you look beautiful OMG 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂
Ukilusha nitag chap🤩🤩
 
🤣🤣🤣sema wewe hunaga baaya 😘
Weeeehh usiseme hivo Hujui makandokando Yangu ya vizinga ujue 🤣🤣🤣!! Kuanzia chupi hadi vocha 🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Nikikupa list hapaaaa🤣!
 
Mwanamke anatakiwa kuudumiwa hao wanaolalamika nazan hawajui wajibu wao

Wakitaka vyabure mazan waoe wake zao ndo wawape vya bure au watafte malaya wa kununua bas

Utaki kuonga nunua malaya inatosha
Sasa unavyofanya unatofauti gani na malaya?
 
Back
Top Bottom