masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,792
- 16,755
kwa kuwa bado nampenda namuombea mungu iko siku atapata nafasi katika moyo wake na kunisamehe
naamini hilo hata upite muda gani nazidi kuamini kama mungu aliniotesha nikiwa mdogo sura yake leo hii kitu gani kinitenganishe nae so naomba mungu
naamini hilo hata upite muda gani nazidi kuamini kama mungu aliniotesha nikiwa mdogo sura yake leo hii kitu gani kinitenganishe nae so naomba mungu