Wadada tufunguke!

Wadada tufunguke!

kwa kuwa bado nampenda namuombea mungu iko siku atapata nafasi katika moyo wake na kunisamehe
naamini hilo hata upite muda gani nazidi kuamini kama mungu aliniotesha nikiwa mdogo sura yake leo hii kitu gani kinitenganishe nae so naomba mungu
 
kwa kuwa bado nampenda namuombea mungu iko siku atapata nafasi katika moyo wake na kunisamehe
naamini hilo hata upite muda gani nazidi kuamini kama mungu aliniotesha nikiwa mdogo sura yake leo hii kitu gani kinitenganishe nae so naomba mungu
kwani yapi yamekusibu rafiki?
 
kununa, kuzira, kulia, kuongea naye kwa hasira (kwa utulivu siwezi kama nimechukia) vyote naona haviwork. nishafanya sana hayo na bado haachi kuniudhi, nimeamua kufanya yangu tu. Mtu akinikera najipoza kwa kujipa treatment nzuri mi mwenyewe. Navaa napendeza haswa naenda outing with friends, au naenda shopping siku nzima kama ni weekend, hapo na yeye atanuna tu

kama nimekereka sana (kupita kiasi) na nina muda (kazi za ofc hazinibani) huwa naamua kusafiri kabisa nje ya mji, baadae lazima atapiga kuomba msamaha. kama vyote haviwezekani, kununa kwangu ni kushinda/ kukesha mtandaoni
 
Jamani inategemea na kosa lenyewe na how many times mtu analirudia. Mfano:
Issue serious kama mumeo ana mchepuko na umejua sidhani kama ni rahisi kumwambia na mkamalizia na tendo. Hii inahitaji mkwala wa nguvu...Na kuonyesha umemaanisha ulichokisema ikibidi kununa.
Kuna zile issue za kawaida ila mwingine unamwambia mi sipendi hivi ila anachukulia poa anarudia tena na tena. Mie huwa naandika... lol naandika barua haswaaa naeleza yale yaliyo moyoni mwangu tukiwa kitandani namkabidhi akimaliza lazima aichane. Written method inanisaidia kueleza bila interruption kwa hiyo mtu anaweza akapata point ya nnachosema. Ubaya ni kwamba kuandika kunataka uongee facts tu na si matusi, kejeli etc maana ile ni evidence tosha aki share na mtu si nzuri (muhimu kuichana afterwards).
Ikishindikana huwa I try and change my strategy mfano kama ni kuiongelea hiyo issue siiongelei tena, kama kanuna na ana expect ninune mi naongea kama kawaida mpaka anajiuliza kulikoni mbona umebadilika.
Mwisho wa yote kumaliza ugomvi kwa chakula cha usiku ni kuzuri ila wanaume wengine hakiamki akiwa kanuna ana nuna mpaka huko lol
 
Jamani inategemea na kosa lenyewe na how many times mtu analirudia. Mfano:
Issue serious kama mumeo ana mchepuko na umejua sidhani kama ni rahisi kumwambia na mkamalizia na tendo. Hii inahitaji mkwala wa nguvu...Na kuonyesha umemaanisha ulichokisema ikibidi kununa.
Kuna zile issue za kawaida ila mwingine unamwambia mi sipendi hivi ila anachukulia poa anarudia tena na tena. Mie huwa naandika... lol naandika barua haswaaa naeleza yale yaliyo moyoni mwangu tukiwa kitandani namkabidhi akimaliza lazima aichane. Written method inanisaidia kueleza bila interruption kwa hiyo mtu anaweza akapata point ya nnachosema. Ubaya ni kwamba kuandika kunataka uongee facts tu na si matusi, kejeli etc maana ile ni evidence tosha aki share na mtu si nzuri (muhimu kuichana afterwards).
Ikishindikana huwa I try and change my strategy mfano kama ni kuiongelea hiyo issue siiongelei tena, kama kanuna na ana expect ninune mi naongea kama kawaida mpaka anajiuliza kulikoni mbona umebadilika.
Mwisho wa yote kumaliza ugomvi kwa chakula cha usiku ni kuzuri ila wanaume wengine hakiamki akiwa kanuna ana nuna mpaka huko lol

yani kama najiona ktk maelezo yako. Nilikuwa naandika barua kama wewe lkn nimeacha. hata kuongelea issue ambazo alijua ningeongea na kumuuliza mwaswali siku hizi siongelei

ukinuna, wanaume wengi wanatumia kugegedana kama njia ya kusolve tatizo. ila kma ulivyosema inategemea na uzito wa tatizo. serious issue kama mchepuko haitakiwi kuwa solved kirahisi hivyo
wanaume wakinuna wao, wananuna kweli, hata chakula cha usiku huwa wanajidai hawataki. Uzuri ni kwamba hawawezi kukaa siku nyingi bila hiyo kitu, baada ya siku chache analainika tu
 
hahahaaaas da.... nilikua sitaki kugusa huku ila kwa heshima yako mkuu... ngoja niongee kidogo...
Binafsi kuna mambo ambayo ni ya kupuuza na ambayo si ya kupuuza. Mambo ambayo si ya kupuuza, kama limeumiza moyo, You need time kwanza ya kukaa mwenyewe na kuweza kulitafakari hilo jambo... then lazima ukae nae chini uongee pale unapohisi umekosewa. Ukinuna mwenzio hawezi jua amekosea nini hivyo anaweza kurudia kosa kila mara pasipo kujua kama anakuumiza... utavimba kila siku, mwisho wake ni nini!!!!
 
kwa kuwa bado nampenda namuombea mungu iko siku atapata nafasi katika moyo wake na kunisamehe
naamini hilo hata upite muda gani nazidi kuamini kama mungu aliniotesha nikiwa mdogo sura yake leo hii kitu gani kinitenganishe nae so naomba mungu


Aisee sijui nimejiskiaje ila najitoa kuomba pamoja na wewe!
 
kununa, kuzira, kulia, kuongea naye kwa hasira (kwa utulivu siwezi kama nimechukia) vyote naona haviwork. nishafanya sana hayo na bado haachi kuniudhi, nimeamua kufanya yangu tu. Mtu akinikera najipoza kwa kujipa treatment nzuri mi mwenyewe. Navaa napendeza haswa naenda outing with friends, au naenda shopping siku nzima kama ni weekend, hapo na yeye atanuna tu

kama nimekereka sana (kupita kiasi) na nina muda (kazi za ofc hazinibani) huwa naamua kusafiri kabisa nje ya mji, baadae lazima atapiga kuomba msamaha. kama vyote haviwezekani, kununa kwangu ni kushinda/ kukesha mtandaoni
Nimependa jinsi unavyochukua muda na kujipa kipaumbele mahitaji yako venine,watu wakifata msimamo kama wako,utapunguza mifarakano mingi midogo midogo.Ni njia nzuri ya kupunguza hasira kufanya kitu tofauti kwaajili yako tu,upate muda wa kutafakari na kusahau yalojiri.
 
Last edited by a moderator:
Mimi Hubby wangu huwa namviziaga usiku anakuwaga mpole sana hata kama alinikwaza mchana,nauchuna wala simuonyeshi tofauti yoyote!!..mara nyingi mchana anakuwa bize na kazi usiku napata wasaa mzuri na yeye,.wakati tunabembelezana namwambia kwa lugha ya kitandani tena tamu na hivi sauti yangu ugonjwa wake..."mme wangu mpenzi,laazizi ...,sakafu wa moyo wangu,mchana ulifanya hivi sikupenda honey,nimekusamehe!, naomba isijirudie tena kipenzi changu".anaelewa tu!

Ningepata waivi dah ningefurah kweli,

Mwingine mchana huo huo, tena hajapata hata uhakika wa kosa, keshaporomosha matusi yote chini ya jua

hadi Qutecherry Mtambuzi[/MENTION] wanawafaham watu wa aina hii.
 
Last edited by a moderator:
mpitie ukiwa kama ulivyozaliwa, utaona tu yatakwisha, ni upepo tu, chejea papuchi

Hilo siyo suluhisho unatakiwa ukae nae mzungumze atatan papuch still atakuwa na kinyongo
 
Inategemea na alichokosea,kuna yanayofaa kupuuza,kuna la kumwambia kama maskhara ila ndio msg sent na kuna yanayofaa mkae hasa myaongee.
Siamini katika kununa,kwanza siwezi maana mie nitaumia zaidi kuliko huyo niliyemnunia!
 
Duuu kuna wanawake mko deep sana aisee.

Naona kuna watu wanaelewa kwamba kukosana ni mwanzo mpya kuyajenga!
 
mimi bingwa wa kununa ingawa mume wangu wala hana maudhi ila nikiona mwezi mmzima umepita sijanuna natafuta sababu ya kununa ili nibembelezwe tuu
 
mimi bingwa wa kununa ingawa mume wangu wala hana maudhi ila nikiona mwezi mmzima umepita sijanuna natafuta sababu ya kununa ili nibembelezwe tuu
ha ha ha kuna watu wagomvi lol…au ndo unapenda attention?
 
ha ha ha kuna watu wagomvi lol…au ndo unapenda attention?

yaani we acha tuu nikiona nimenuna saana naenda chumbani nacheka wee akitokea tuu nalamba ndimu, namshukuru Mungu kwa kunipa mwanaume mpoleee
 
yaani we acha tuu nikiona nimenuna saana naenda chumbani nacheka wee akitokea tuu nalamba ndimu, namshukuru Mungu kwa kunipa mwanaume mpoleee

Ha ha ha shukuru aisee upo demanding madam!
 
kusema kweli mie cjajaliwaga mshipa wa aibu yaani..mi ukinikwaza nakuchamba lakini kwa hekima...nkimaliza maisha yanasonga mbele ukizingua...natafta plan b faster!:redface:
 
Back
Top Bottom