everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Inategemeana na jambo lenyewe,kuna wakati naweza kulia,kununa,kufoka na hata wakat mwingne kucheka kabisaa,na kuna mengne nayapuuzia tu.
Ila huwa najitahidi sana bifu langu lisimalize siku bila kupatana hata haijalishi nilikosea au kanikosea yeye,na kama ni zito sana lisizidi siku 3 bila kupatana.
Ila huwa najitahidi sana bifu langu lisimalize siku bila kupatana hata haijalishi nilikosea au kanikosea yeye,na kama ni zito sana lisizidi siku 3 bila kupatana.