Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Binafsi mimi akinikera mtu huwa nakumbuka kauli ya wakubwaqkunyamaza katikati ya hasira ni suluhisho kubwa"..nanyamaza natafuta maji yalipo kama yuko mbali natumia njia ya meseji zaidi kuliko kupiga simu..kama yupo karibu napenda akae juu mie chini ndo niweze kuzungumza nae vizuri..kukaa kimya kunasaidia kupunguza ugomvi kwenye mahusiano...wanawake tupunguze midomo na uvuvuzela..