Wadada tufunguke!

Wadada tufunguke!

mimi mwenzenu naangalia na mood yake kama atanifokea siulizi lakini huwa nalia sana machozi yakiisha tu na mimi nakuwa nipo okey nakuwa nimemsamehe wala hata sijui kununa mtoto wawatu mie...... nakaa kimya sana though inaniumiza sana wakati wa kulia

Kuna wakati nilikuwa nalia lakini nikajiuliza hivi kwa nini nilie....siku ya siku nikamwambia hili chozi ni la mwisho hutakaa uone chozi langu likitoka kwa ajili ya lolote usemalo au utendalo....na ikawa hivyo..
 
Kuna wakati nilikuwa nalia lakini nikajiuliza hivi kwa nini nilie....siku ya siku nikamwambia hili chozi ni la mwisho hutakaa uone chozi langu likitoka kwa ajili ya lolote usemalo au utendalo....na ikawa hivyo..
kitu kimoja ambacho nimejifunza ni kwamba kwasababu wanawake tumepewa machoziya karibu,na tunatumia njia hio kama ya kupunguzia hasira wanaume wanafanya kama mazoea au kawaida yake kulia ,zile siku za mwanzo atakupa bega la kujiegemezea lakini kadri siku zinavyoenda ndo anakupuuzia na kitu hicho kinauma sana,ndo tunarudi kwenye yale masuala ya kutojali hisia za mwenzako!
 
Mi huwa ninahasira sana na ukiniudhi machoz ya karibu yapo ila nimejifunza kutolia mbele yake na siku zote silence is the best weapon na mi hupenda sana kusmile ila ndani naumia and inatokea tu ananielewa kwa namna hyo and atasema na tutayaongea yataisha,mwepesi kukasirika na mwepesi kusamehe
 
mimi huwa mtu akinikera nasusa nadhani kuwa mtoto wa mwisho kumeniathiri sana huwa mtu akiniudhi nitampa jibu fupi kukatisha maongezi nakula bati tu kimyaaaaa na akijifanya naye kula bati basi ok tutaendeleza bati mpaka atakapoweza kujishusha na kutambua makosa yake
 
kitu kimoja ambacho nimejifunza ni kwamba kwasababu wanawake tumepewa machoziya karibu,na tunatumia njia hio kama ya kupunguzia hasira wanaume wanafanya kama mazoea au kawaida yake kulia ,zile siku za mwanzo atakupa bega la kujiegemezea lakini kadri siku zinavyoenda ndo anakupuuzia na kitu hicho kinauma sana,ndo tunarudi kwenye yale masuala ya kutojali hisia za mwenzako!

as i grow older nimejifunza hata ukiwa na mwanaume wako,sio kwamba atakusolvia maudhi na matatizo yote hata ambayo anayasababisha,mana na yeye anakuwa na matatizo yake and he sometimes wants ur comfort too...
Inabidi tu kusamehe na kumove on,vinyongo ukiweka utaweka vingapi?
 
mi akinikera namuandikia kama ni email au namtext, natoa kila kitu kilichopo kwa roho yangu,na hapo uchungu wote unaisha,
 
Nafikiri hiyo si njia sahihi hata kidogo kufanya migomo ndani ya nyumba wala haifai hata kidogo,na kama mtu ana mazoea ya namna hiyo basi ajiulize je yeye angependa mume wake kufanya mgogmo ndani ya nyumba akimkosea?kama hatapenda basi hana budi hata yeye kujizuia kabisa kufanya hivyo kwani nina imani kabisa migomo huwapa wakati mgumu sana hawa wenzetu hasa ikiwa kwa kweli anakupenda mke wake.(kuna hali fulani fulani zinazoweza kustahili kuleta mgomo lakini hizo ziwe so delicate na sio matatizo yanayoweza kuwekwa mezani na kuongeleka)
Ahsante kwa kufunguka rafiki ila ikaonekana tulio wengi tunanuna au kwa lunga nzuri kupunguza uchangamfu hii ntakchukulia ni kama ishara ya kuonesha umekerwa ili mtenda ajue kosa lake wakati mtendwa akitafakari alivyokerwa!kuna wale ambao wanasusa na kuweka mgomo,hakupikei,hakupakuliwi,sheria zotd zinavunjwa na amani inatowekea unakuta mtu kabinua mdomo tu na kuna uwezekano anajibu mbovu mbovu je hii ni njia sahihi ya kusuluhisha ugomvi?na kama mtu anajua anareact hivo akikerwa afanye nn?
 
Ushawahi kukutana na yule mwanaume ambae mkikerana ana kuingilia kinguvu kama njia ya kukupunguzia hasira yaani anajua huko kwenye mood unamwambia sitakii lkn hakuachi?

Mmmh hapana kwakweli sijawahi ona type hiyo, mi najua wapo wale ambao kugegedana ndo means ya kumaliza ugonvi...
nawapenda mie
 
Kwa hyo ukigegedwa solution ishapatikana na hasira kwishney?hahahaa hahaaa haahaaa kidumu chama cha mgegedano halali!kidumuuuuuuu

Tena sa nyingine siongei, najilengesha lengesha tu
akikubali najua ugonvi kwisha
proud to be who I am....
 
Naamua kukaa kimya kwa muda (bat kalii)...nalianzisha tena ila nia ni kufikia muafaka,kuna muda anakua mkali kweli (si unajua wanaume eei) najishusha ili yaishe ila hapo shamwambia ukweli wa kosa lake..kama kosa ni langu naomba tu msamaha yaishe
Lile tendo ndo linathibitisha msamaha uliopita,lol
 
Hua ninahasira za ajabu japo mda mwingi napenda kufurahi na take things easy ila nikikasirika inakua ishu lakini akiniwahi kuomba samahani basi moyo wangu hua mwepesi mapema. Nami nikimudhi cha kwanza nakimbilia kujishusha nabembelezabembeleza apo mambo yanaisha kwa amani kama yuko karibu tunamaliza na hot kiss.....
 
Kuna wakati nilikuwa nalia lakini nikajiuliza hivi kwa nini nilie....siku ya siku nikamwambia hili chozi ni la mwisho hutakaa uone chozi langu likitoka kwa ajili ya lolote usemalo au utendalo....na ikawa hivyo..

mimi hata mdogo wangu akiniudhi huwa nalia so wapo makini sana nisiudhike ili nisilie.... sijui nitaacha lini kulia ila sipendi
 
mimi hata mdogo wangu akiniudhi huwa nalia so wapo makini sana nisiudhike ili nisilie.... sijui nitaacha lini kulia ila sipendi

Siku zikizidi kusonga utagundua kuwa kulia hakuleti suluhisho nawe utaacha taratibu. Lakini kama umekaa chini ya mwamvuli kuwa kulia kunakupa relief, basi itachukua muda...Haya sasa niambie, mdogo wako badala ya kumchimba mkwara kwa alilofanya walia weye....kuna suluhu hapo tena? Na yeye anafanya nini sasa wakati dada uko kilioni? miss chagga hapa umenifanya nitabasamu kwa jinsi wadogo zangu walivyo, ungefunga na turubai kwa kilio...manake hawafai kulumangia ugali..
 
Back
Top Bottom