wanawake.kama wanaume hamridhiki hata upewe ng'ombe na maini utachepuka tu.Sasa wafanyeje kama nyie hamueleweki unataka ukute mnato, kama ya mtoto ukiondoka hutunzi huudumii unmpa vishawishi mwenzio vya kutumika ovyo hadi inaelekea papu litanuke,lijae maji Hio ndo njia mbadala kwao
Hakuna kitu kama hicho mbona sie tumetulia na watu zetu kwakua tutakacho tunapewa sumu ya mwanamke matunzowanawake.kama wanaume hamridhiki hata upewe ng'ombe na maini utachepuka tu.

Kama anaondoka anaacha 3000 hakuna mkaa,unga,mboga,viungo, unataka asichepuke hata Mimi ningekuja sihudumiwi aaaaa ningemchepukia hadi angejutawanawake za watu ndio wanaongoza kumegwa.wala usiwatetee
Labda mwanaume uwe na kibamia ishindwe kukitumiawapo wengine wanakila kitu lkn wanamegwa na masela kitaani
Kwa utaratibu huu inahitajika tafakuri jadidi kabla ya kujitosa kutafuta hiyo huduma.ukifunga gori dakika sifuri jua umekutana na huduma
Hahahaaaa unazama chumvini mdomo unaungua na magonjwa ya koo juuwanakula kipapatiokwa wale vidume vya chumvini.lati wangeua! wasingethubutu
