Wadada taratibu jamani

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,558
2,854
Kuna baadhi ya wadada wanatumia mbinu za kuhadaa wapenzi wao ambazo zinahatarisha afya zao! wadada hawa wanatumia 'kistic' kipo kama chaki wanaingiza ukeni na kinayeyuka kidogo kidogo huwekwa kabla ya tendo la ndoa kinakausha maji ukeni na kuongeza joto la hatari.huondolewa baada ya mda na kinaweza kutumika hata mpaka miezi sita.yote hiyo ni katika kuhakikisha wanapagawisha wanaume!

wengine wanatumia kitu inaitwa SHABU ili aonekane mwali(hajatumika) akiwa na mwanaume wake! ndo wale wanajifanya wewe ndio first to none!

Wengine hutumia mchanganyiko wa viungo kama asali,majani ya mbaazi na binzari nyembamba! kisha wanatumbukiza kwenye papuchi,Hataree.

Tatizo lililopo hawajari kama wanaweza pata magonjwa kama saratani n.k na kuleta janga kwa ndugu zao,wapenzi wao na Taifa! wadada taratibu.ukipendwa umependwa tu.mimi nikigundua unafanya ujinga huo nakumwaga fasta.sipendi mbunye artificial mazafanta.
 
Kuna baadhi ya wadada wanatumia mbinu za kuhadaa wapenzi wao ambazo zinahatarisha afya zao! wadada hawa wanatumia 'kistic' kipo kama chaki wanaingiza ukeni na kinayeyuka kidogo kidogo huwekwa kabla ya tendo la ndoa kinakausha maji ukeni na kuongeza joto la hatari.huondolewa baada ya mda na kinaweza kutumika hata mpaka miezi sita.yote hiyo ni katika kuhakikisha wanapagawisha wanaume!

wengine wanatumia kitu inaitwa SHABU ili aonekane mwali(hajatumika) akiwa na mwanaume wake! ndo wale wanajifanya wewe ndio first to none!

Wengine hutumia mchanganyiko wa viungo kama asali,majani ya mbaazi na binzari nyembamba! kisha wanatumbukiza kwenye papuchi,Hataree.

Tatizo lililopo hawajari kama wanaweza pata magonjwa kama saratani n.k na kuleta janga kwa ndugu zao,wapenzi wao na Taifa! wadada taratibu.ukipendwa umependwa tu.mimi nikigundua unafanya ujinga huo nakumwaga fasta.sipendi mbunye artificial mazafanta.
Sometimes ubunifu ni mzuri...ila usipitilize kiwango......
 
Hahahahah hapo mwisho nimecheka!!!!,. ila chenye mwanzo kina mwisho mkuu,. alaf hii kitu ndo naipata kwako leo, vip umekutana nayo na kwa wa wangap???? lazm kuwe na kaushahd hapo,, au we ndo unaviuza hvo vitu na unawateja weng?????,.
 
Hizi papuchi kama mdomo mbaazi, Asali, stick , dushe yote twende .. Mmh magonjwa ya uke yanazidi kuwa mengi bad enough cure nayo hakuna
 
Shida zote hizi kisa mboli tu......scratching my head.
Wajinga hawa! wanadhani anaweza kumdatisha na kupendwa.na mwanaume kwaajiri ya K tu! hawajui kuna sifa na vigezo vingine vingi ili mwanaume afike bei.
 
Haaa kuna mwingine aliomba msaada aliweka hiko kistick ili kubana K.. matokeo yake K ikaziba kabisa
Sijui alipata msaada stahiki
Hatari kwakuwa ukikosa msaada wa kueleweka utaishia kukizamisha zaidi na kujutraa.wanaume wenyewe utulivu kwetu sifuri hata uwe na mbunye yenye mnato wa ulimbo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom