Wadada na yaliyoko chini ya kapeti

Wadada na yaliyoko chini ya kapeti

Ndo maana mi napenda weusi bhanaa huwa wanakasoro moja tyuu wengi wao🙂
 
Hahahaha hiyo ni kweli kabisaa,aisee,binafsi nilimuona mtoto mmoja Chuo fulani ivi,mtoto kajaaliwa kila kitu aisee,ile namfuata nikakuta friends wake wamemjalia kama wanashida nae ivi,ah,nikaona isiwe shida,mara siku sina wazo lolote juu yake ghafla akatokea around nilipokuepo,basi mwanaume nikamfuata,ile kumpa salamu tu naona mtoto kama anakubali vile ila alipofungua mdomo kunijibu khaaaa,meno yooote yana ile Rangi kama yameoza ivi mmmh,hapo hapo hamu ikaisha nikaaga .....!
 
Mimi yalinikuta hayo,kuna binti nilishindwa kumtoa bikira,nilifanya kila njia ilishindika,akaja kukutana na jamaa mmoja wa mji tofauti alienda likizo huyo binti,hakujua kama jamaa yangu,naye alijaribu kuvunja alishindwa,mpaka leo huwa najiuliza sijui anamatatizo gani yule binti,ni mzuri sana
 
Mimi yalinikuta hayo,kuna binti nilishindwa kumtoa bikira,nilifanya kila njia ilishindika,akaja kukutana na jamaa mmoja wa mji tofauti alienda likizo huyo binti,hakujua kama jamaa yangu,naye alijaribu kuvunja alishindwa,mpaka leo huwa najiuliza sijui anamatatizo gani yule binti,ni mzuri sana
Naomba niunganishe nae....🙂🙂🙂🙂
 
Mkuu basi basi basi!!!!! U simplifie








Mkuu basi basi basi isimalizie kusema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom