MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,752
- 9,223
Acha kufikiri kama jethika wewe! Hakuna nilipoandika "kigezo cha uzuri ni kuolewa" hivyo nakuomba usianze kujipigia makofi kwamba nawe uko kwenye top 1000 ya wazuri kisa tu umeolewa.Hivyo ndivyo vigezo vya uzuri? Dhana ya uzuri ni telezi (subjectivity).
Hivi mtu akiolewa ndiye mzuri eeh. Basi mi nimzuri.
.

c ungemnunulia zawad ya mouth wash mkuu