Wadada na waume za watu

Kwa mtazamo wako hakuna single guyz wasio na familia? Mbona umefikiria kirahis hivyo?
Wewe ndiye unafikiri kirahisi. Nilimaanisha hata kama wanandoa au wapenzi hawachepuki lakini unakuta kila mmoja wao alisha tumika. Yaani ni nadra sana tena sana kukuta wanandoa ambao walioana WOTE WAKIWA BIKRA..

UNSERSTAND???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize hao ma single aka wasiooa wanatembea na wanawake wangapi?

Au mabinti ambao hawajaolewa wanatoka na wangapi?

Kwanini huu mfundo uwe kwa wanandoa pekee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utawajaza chupa wangapi
Nitakayemkuta ni halali yangu kuna mdada hapa jirani alivuliwa nguo zote had chu alikuwa na dred akanyolewa kisa kakutwa na mume wa mtu yule mke akamuitia majimama haisee walimdhalilisha mpaka raha
 
Naongelea wadada waache kupotezewa muda kaka watafute wanaume wasiooa wafanye maisha hata hao waliooa mwanzo walikuwa hawana kitu wake zao wamewasaidia sasa wanawake wa nje ndio wanaanza kuwatamani
 
Wanajali sasa
Kauli mbiu yao ni 'bora life lisonge'
 
Nitakayemkuta ni halali yangu kuna mdada hapa jirani alivuliwa nguo zote had chu alikuwa na dred akanyolewa kisa kakutwa na mume wa mtu yule mke akamuitia majimama haisee walimdhalilisha mpaka raha

Mbona pole. Mi wala sita dili na mwanamke mwenzangu, nitadili na huyo shetani aliyeapa mbele ya Mungu na Mimi kuwa kaamua kufuata ndoa takatifu na sasa anaiharibu. Siku ukukita kalala na binti yako utamuua huyo binti yako? Dili na hilo shetani kwanza
 
Hivi kwa mfano mademu wote wakigoma kutembea na waume za watu, sio tuliooa kama mke akikubania tutasafisha vipi bunduki kwa mfano?
 
Elimishaneni vinginevyo mtaliwa sana

Chura bin Zigo kwanza mengine baadaye
 
Umeandika uroto alafu umevaa hijabu, ndo mana huwa nawachojoa hayo manguo ... Funua natupia kimoja napita hivi,, Uninja wote kwixh ney
Na mara zote, na iko proven....'waroto' huona kilakitu ni cha 'kiroto'.
 
Mada umeielewa? Au umesomewa? Ngoja basi nikuelekeze iko hivii: ni ushauri kwa wadada waache kupotezewa muda na waume za watu watachelewa kufanya maisha
Na wewe nawe......hivi unaelewa unachoandkka lakini!!!. Mtu asipoelewa kilichoandikwa na mwingine, huyo nitamuelewa. Lakini mtu asipoelewa alichokiandika mwenyewe....huwa simpatii kundi.
Hivi mdada anaanzaje kufanya maisha bila mwanaume!!!! Wewe ndio wale mliolishwa mashudu kwamba kazi na pesa ni maisha kwa mwanamke. Hebu zakuambiwa changanya na zako.
 
Duuh asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…