Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,072
- 126,145
Hahaaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkomage
Hahaaaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkomage
Cheka tu mdogo wangu. Ila mitandaoni huwa kuna vituko sana aiseee.HahAhaaaaaaaa
Nimecheka sana
Hahaaaa. Ila wanaume bana. Yaani kabadilika tayari. Duuh
Hahahahaaaa.Cheka tu mdogo wangu. Ila mitandaoni huwa kuna vituko sana aiseee.
Sa sijui mtu anapodanganya inakuwaje?
Hahaaa. Duuh.Huyo bonge anamvuto au ndio sura kama kibwengo pole sana sijui kwa nn wanapenda kuweka picha za watu mm kuna mmoja nilishamuacha kituo cha daladala
Hahaaa. Kweli kabisa.Hahahahaaaa.
Hizi stori za mtu kukutana na mtu mwenye sura/umbo ambalo hakulitarajia zimetamalaki sana, tatizo kubwa ni uongo ulijaa humu mitandaoni.
Uongo na ufake umekuwa chambo na fursa sana mitandaoni!
Bila shaka mzima wa Afya Dada yangu?Hahaaa. Kweli kabisa.
Mie sijambo kabisa mdogo wangu namshukuru Allah. Sijui wewe?Bila shaka mzima wa Afya Dada yangu?
Na mimi Sijambo kabisa..Mie sijambo kabisa mdogo wangu namshukuru Allah. Sijui wewe?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahaaa. Duuh.
Tatizo na nyie ndio mnajenga kwamba kiuhalisia wako hivyo na ndipo mnapokosea hapo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Na mimi Sijambo kabisa..
Nipo nafungua kinywa na vimbwanga vya jukwaani hapa
Hahaha noma sanaHahaaaa. Ila wanaume bana. Yaani kabadilika tayari. Duuh
Hahaaaaa. Mshipa tuma full basi [emoji85].Hahaha noma sana
Ahahahahah
AlikuwajeHahah yalinikuta mara mbili nikatoka nduki, wakwanza alikua kibonge mfupi ana tumbo kubwa kama la wanywa bia, unaweza kudhania hana shingo, sauti ya kitoto kumbe mtu mzima kabisa, nilikaa sehemu namtazama kila nikijipa imani nimsogelee moyo unakataa, nikatokomea.
Wa pili hasimuliki kabisa namuachia Mungu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi nusu tayari nishakutumiaHahaaaaa. Mshipa tuma full basi [emoji85].
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]