Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,263
- 72,442
Haitokaa itokee mileleWeeeee uje unianzishe Uzi oooh nimemkuta ana sura kama ya baba Ubaya
Haitokaa itokee mileleWeeeee uje unianzishe Uzi oooh nimemkuta ana sura kama ya baba Ubaya
Haya basi utaniona usijaliHaitokaa itokee milele
Pm pako wazi pita hadi ndaniHaya basi utaniona usijali
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Pm pako wazi pita hadi ndani
Muda wowote unakaribishwa...[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kila kibaya na kibaya chenzakeniliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
Hahahahaha hahahaha si kwa sifa hiziMuda wowote unakaribishwa...
Sifa za PM yangu:
1. Ni pasafi
2. Pana Kiyoyozi (Full AC)
3. Friji ipo
4. Panavutia na kuna harufu nzuri
5. Huduma ni 24H/7W 365 a year
6.Mhudumu aliyebobea na mwenye uzoefu wa kutosha (Mwenye tabasamu la nguvu)
7. Lugha nzuri kwa mteja ipo
8. Internet ya kasi ipo (4G LTE wireless)
9. Huduma za miamala ya kifedha zinapatikana
10. Kuna utulivu wa hali ya juu..
11. Kuhusu suala la ulinzi ondoa shaka, hapa umefika (CCTV kila kona zipo)
Na mengine kadha wa kadha...Karibu sana uhudumiwe, hakika hutojutia!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Karibu sanaHahahahaha hahahaha si kwa sifa hizi
njoo dada mpenzi....Hehehe nnavopenda maongezi nakuja chaap.
Abeeeeh.
hahaaaaaaa mkuu wewe mkongwe ..mwaka huo mimi Nipo std 1niliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
Hahahaha Joseverest jamani[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
njoo dada mpenzi....
Hahahahahaaaniliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
Ilikuwaje?mkuu hii issue yako inafanana kila kitu na kilichonikuta mwaka jana isipokuwa hapo tu, yaani hata nashindwa kuelezea nilichokutana nacho!! mpaka nikikumbuka ile siku nabaki kucheka tu.