Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

adda13993e56ff1277031bb785df6b34.jpg
Uwiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahah yalinikuta mara mbili nikatoka nduki, wakwanza alikua kibonge mfupi ana tumbo kubwa kama la wanywa bia, unaweza kudhania hana shingo, sauti ya kitoto kumbe mtu mzima kabisa, nilikaa sehemu namtazama kila nikijipa imani nimsogelee moyo unakataa, nikatokomea.
Wa pili hasimuliki kabisa namuachia Mungu
 
Back
Top Bottom