Wadada mna nini na magari?


Basi kijana wacha mara moja hiyo tabia.....maana itakuletea majuto....
 
WaTz Wengi Tuna Story Za Kufanya Iwe Movie Nzurii Tuu Na Ikauzika... Tatizo Sijui Nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wanawake mna ubinafsi sana kwa kweli, na nyie ndio mnaponza wenzenu.
Wee tayari unajiweza, lakini najua huwezi olewa na mwanaume ambae maisha yake bado ya kuunga unga.
 
Mwanamme mjanja anajenga kama uwezo anao,Hakuna baba mwenye gari kuna Baba mwenye Nyumba,panda Daladala
lakini sio mpangaji kuliko kua na Gari umepanga au unakaa Kwenu..
Sijawahi kuona mtu amekosa sehemu ya kulala lkn nimeshaona mtu anayetembea kwa miguu,jua Lake mvua yake.
 
We baki na milioni yako mfukoni huku ikitembea kwa miguu, na mwenzako hana hata mbuni mfukoni lakini anaendesha.... Imekula kwako.... Hela utabaki nazo mfukoni... Mwenzio wa gari anang'oa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mwanamke upenda rahaa sana wala si mvumilivu na kupenda muonekano kwa wenzake yukoje.
 
Basi kijana wacha mara moja hiyo tabia.....maana itakuletea majuto....
Nshaacha siku nyingi mkuu, yaani gari hadi naiogopa naitumia nikiwa natoka na familia au naenda sehemu muhimu ya mbali, maana ilinifanya kua mdhaifu kwa hawa viumbe kwa kiasi flani.
 
Mwanaume mwenye vigezo?? Si pamoja na hali yake kiuchumi sasa!!!
Anaweza kuwa na uchumi ila vigezo hana, ni bora akawa na vigezo ili uchumi muutafute pamoja. Najua wengi hawakubaliani na hili, ila binafsi ndo kipaumbele changu. Nahitaji furaha ya moyo wangu na si kufurahisha macho ya watu.
 
Anaweza kuwa na uchumi ila vigezo hana, ni bora akawa na vigezo ili uchumi muutafute pamoja. Najua wengi hawakubaliani na hili, ila binafsi ndo kipaumbele changu. Nahitaji furaha ya moyo wangu na si kufurahisha macho ya watu.
Ni kweli usemalo, ila wakati mwingine hautekelezeki, umri unaenda mwenye vigezo hana future yoyote yupoyupo tuu,
Uje kuolewa na mwanaume mwenye 35years hata kodi kwake shida useme mtatafuta wote?
Alkua wapi miaka yote hadi aje akusubiri wewe msaidiane?
 
Tangu nimekopa gari ni mezi minne sasa na ni mwanamke wa 42 naenda kumgegeda leo
Hahaaaa, angalia mkuu kigegedeo kisiishe hapo kikabakia ka cha mtoto!
 
Hahaaaa, angalia mkuu kigegedeo kisiishe hapo kikabakia ka cha mtoto!
Mkuuu yani nawachapa mpaka raha. Yani unapiga mpaka wenye pete zao wewe nikuvuruga tu. Kuna kipindi wanakuja mpaka unaona watakuua.
 
Tatizo lako unaongea kutokana na experience na kwa vijana wa kileo wanaona unaota ndoto za alinacha. Hata wewe wakati wako mawazo yalikuwa kama wao na mzazi wako akikukanya (kwenda kinyume na matamanio yako) unamuona nuksi. Mbwa asipoungua Mkia hatoki katika moto, tuwawache wakiungua watagundua aidha wakikua watajua kuwa K is constant kikubwa maji ya uhai yatoke mwilini.
 
Mkuuu yani nawachapa mpaka raha. Yani unapiga mpaka wenye pete zao wewe nikuvuruga tu. Kuna kipindi wanakuja mpaka unaona watakuua.
Mi mwanzo niliwafurahia lkn nikaja kushtuka ni rahisi kuwapata lkn huwezi kuwagegeda bure, hata kama hakupigi mizinga mkubwa, kuna gharama za mafuta kumtoa kwao na kumrudisha, gesti nk.
 
Mkuu umekosea, kwan kuna familia zimepangiwa kuwa na watoto wa kike tu, sema familia nyingi za kitz au africa ni maskin wala sio familia za akina dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…