Mlianza kwa kuvaa suruali zetu tukawanyamazia, mkaja mkavaa fulana na kaptula zetu tukawaacha, lakini kama haitoshi sasa mnapigilia hadi BOXER za kiume, hivi nyie viumbe wa wapi mwapenda copy kila kitu cha kiume? Mbona sie hatujawahi iga mitindo yenu?
Unahakika hamjaiga, muulize Bilal Mashauzi atakujibu
Mlianza kwa kuvaa suruali zetu tukawanyamazia, mkaja mkavaa fulana na kaptula zetu tukawaacha, lakini kama haitoshi sasa mnapigilia hadi BOXER za kiume, hivi nyie viumbe wa wapi mwapenda copy kila kitu cha kiume? Mbona sie hatujawahi iga mitindo yenu?
Ndo muige sasa!
mependa jibu lako shost
Mlianza kwa kuvaa suruali zetu tukawanyamazia, mkaja mkavaa fulana na kaptula zetu tukawaacha, lakini kama haitoshi sasa mnapigilia hadi BOXER za kiume, hivi nyie viumbe wa wapi mwapenda copy kila kitu cha kiume? Mbona sie hatujawahi iga mitindo yenu?
Nipe dhawadi basi mpenzi!
Mbona na 0713......mmeiga? Tumewaangalia tu tunanyanganyana wote wanaume
so mwaaaaaaaaaahhhhhh!!!!!!!!
Mbona na 0713......mmeiga? Tumewaangalia tu tunanyanganyana wote wanaume