Wadada makazini jamani mtatuvunjia ndoa

Wadada makazini jamani mtatuvunjia ndoa

uzembe wako unamlaumu dada wa watu


Wakayi unaitwa sweetheart ulikuwa unatabasamu

Mpaka unapewa mabusu unakenua meno tu

Meseji ukituniwa unafuta maana yake unajua unachokifanya sio sahihi

Halafu unalia lia

Hovyooo
huyu jamaa kaniangusha sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom