Wadada Jiongezeni 6*6

Wadada Jiongezeni 6*6

Aisee! Tatzo linapokuja ukiwa kibamia akikufanyia utundu si kitachomoka?
 
Shyeeeh! sio mganga kweli huyo mishanga yote hiyo yenye mirangi km bendera ya UN.
 
Mimi nafanya huduma zaidi ya hizo ila "INVITATION TO TREATY" inahusika huwezi kumdaka mlangoni kwa busu wakati hajawai hata kutanguliza hela ya juice. Nfyuuuuuuu unataka juice wakati hujuhi matunda yanauzwaje? Mwanaume kama anajiongeza gafra uko zako home mpesa laki mbili inasoma kwann nisibinuke mtoto wa kike? Wanaume mnajisahau most of men they have northing except their d...k ahaaaaaaa
 
some time wadada wanashindwa kutoa ushirikiano mzuri kwa kua wanaaibu.. kwa wapenz wao.. yan mdada anashindwa kumwambia mpenz wake ni mkao upi unamfanya awe huru.. kushughulika..
unakuta mdada anaumia lakin hata haez sema anakaa kimia anatulia bwana amalize walale..
so wadada ondoen aibu jaman kua free na pia mjifunze kupitia majarida mbalimbali ya mapenz, kama unaona aibu kumuuliza bibi yako au shangaz yako, unakuta mdada ametoka kwenye familia ambayo hajawah kuzungumzia vitu kama hivyo amakutana na marafik wa aina yake hadi anaolewa au ana do first time hajui wenzie wanafanyagaje..
mtu huyo kumfundisha ni jukum lako mwanaume usimlaum..
 
As a woman sasa najibu hili! Nitapokosea wengine watalekebisha lakini kila mtu hutenda kwa sababu!
Mfano as for me nikimfeel toka moyoni haa ntajituma kweli kweli yaan with passion! Miuno feni ya kufikia tuu! Najua na kwa wanawake wenzangu hii precedent! Shida inakuja hapa! Labda hujapendwa mmekutana out of stressses unategemea ntapiga judo kweli za kwenye feni au dirishani? Au labda wewe ni Umblera lover kwa mfano nimejikinga tu kwa jua na mvua judo hazipo hapo wala karatee! Ila kama natafuta Ngome ntajituma saaana beyond yaan ili nikuchanganye!
Dont misjudge / mis understand me! Sote tunajua kila mtu anaishi kwa akili yake! Watu wote wapo busy kukamilisha mipango yao! Yule anakwenda, yule anarudi, mwingine kapata mwingine kakosa! Mleta mada kabla hujalia hapa ukiona hufanyiwi hayo ujue UMUHIMU WAKO MDOGO, hana MASTER PLAN na wewe au HAJAKUPENDa! Na ukifanyiwa kuna mawili unapendwa from heart au wanaku maintain ur too good to be wasted!
 
some time wadada wanashindwa kutoa ushirikiano mzuri kwa kua wanaaibu.. kwa wapenz wao.. yan mdada anashindwa kumwambia mpenz wake ni mkao upi unamfanya awe huru.. kushughulika..
unakuta mdada anaumia lakin hata haez sema anakaa kimia anatulia bwana amalize walale..
so wadada ondoen aibu jaman kua free na pia mjifunze kupitia majarida mbalimbali ya mapenz, kama unaona aibu kumuuliza bibi yako au shangaz yako, unakuta mdada ametoka kwenye familia ambayo hajawah kuzungumzia vitu kama hivyo amakutana na marafik wa aina yake hadi anaolewa au ana do first time hajui wenzie wanafanyagaje..
mtu huyo kumfundisha ni jukum lako mwanaume usimlaum..
Pia wanaume wengine hawana amsha amsha kwenye 18 ndio maana mtu unamkadiria unaona huyu nimpe haya maujuzi ntamu overdose let me reserve for some other cases.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom