Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,946
- 5,087
Mwandiko wake ni hatari kwa afya ya macho na akiliUna mwandiko mbaya
Mwandiko wake ni hatari kwa afya ya macho na akiliUna mwandiko mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa hili si ungemwambia binamu
Usiniambie hivyo bna mimi sio binamu [emoji1][emoji1]
Safi sana.Cha kujifunza hapa,
Mwanamke ukishaona jamaa hajakupenda, umeolewa kwa kigezo Cha mtoto,
Basi Linda penzi lako kwa gharama zote.
Sio unamwachia achia kizembe bwana ako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo lake naye lilikuwa kama la binamu
Nimebaki na rafiki yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja nikufundishe na wewe au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Mwandiko wake ni hatari kwa afya ya macho na akili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja nikufundishe na wewe au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Bro hili la kumfundisha binamu mbona mimi unanikazia [emoji23][emoji23] binamu kwanza yupo wap
we peleka moto tu usione aibu cha msingi kwepa mimba usije ukanunua kesi juu ya kesi🥵🥵Fala sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Mlete binamu kwa dada zangu [emoji39][emoji39]
Sawa lakini afate ushauri wako ule wa mwanzo kwamba alilinde penzi lake kwa gharama yoyote , inaonekana lijinga sana uyo binamu wa jamaa,Aende TU kwa bwana ake akalianzishe,
Tena ana mtito wake,Akomae ndani liwalo na liwe, Jamaa nafsi itamsuta na Watu watamsema. Maisha yataendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umukule wew nakujua wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ee aende tu ndio mwanzo uo maisha hayana fomura, mwisho wa siku watafanikiwa tu mkuu usijisahaulishe kwamba maisha ni mapambano.Unaongea kwasbabu hayajakkuta bwana wenye fundi
Vyuma huko temeke utamuacha aende uko hili anuke na yeye mafuta ya gari?
we peleka moto tu usione aibu cha msingi kwepa mimba usije ukanunua kesi juu ya kesi[emoji3062][emoji3062]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huko umefika mbali chakula atakula nani… me nitakuwa nakula tu chakula chake na kumtia [emoji16][emoji16]moyo kumtia moyo aongeze bidii ili arud kwa mumewe
Ee aende tu ndio mwanzo uo maisha hayana fomura, mwisho wa siku watafanikiwa tu mkuu usijisahaulishe kwamba maisha ni mapambano.
Mpe chombezo la hatari kama la yule muuza chapati mwenye kishunduMimi sio wahivyo
Af mimi mdogo nifafanulie moto wanapelekaje?[emoji23][emoji23][emoji1787]
Ahahaha mpaka anatoka hapo ana mimba yako sio ndio lengo lako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Mpe chombezo la hatari kama la yule muuza chapati mwenye kishundu
unafeli sana
Mpe chombezo la hatari kama la yule muuza chapati mwenye kishundu
unafeli sana