Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
- Thread starter
- #21
Huyu mwanaume ni mkware tu. Na hii inamaanisha kuwa hawezi kujizuia na wanawake walio karibu naye. Huyu hata akiletwa dada wa kazi hataweza kujizuia.
Sana af mshamba mimi ndo maana sipendi urafiki na shemeji kwasababu nitajua uchaafu wake af nitampiga