Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Habari za mchana natumaini wote mmepata runch pale food point au Kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku Bunyokwa)
Twende kwenye mada
Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.
Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi alimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu
Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hataki kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui kabisa
Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kurudi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asirudi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa natoa
Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhu mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili ajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo
Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni
Yangu hayo
Twende kwenye mada
Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.
Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi alimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu
Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hataki kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui kabisa
Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kurudi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asirudi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa natoa
Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhu mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili ajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo
Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni
Yangu hayo