Wadada jifunzeni kupitia binamu yangu

Wadada jifunzeni kupitia binamu yangu

[emoji16][emoji1] ila ndugu mmemdekeza sana binadamu why hadi amekuwa mama hajui kupika

[emoji23][emoji23] wewe dada zako wote wanajua kupika kuliko shishi? [emoji1787][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23] wewe dada zako wote wanajua kupika kuliko shishi? [emoji1787][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] wanajua kupika ndio wote ila me kwa shishi sijaingia pale kula .. maana home dada wapo wanapika
 
Aende TU kwa bwana ake akalianzishe,
Tena ana mtito wake,Akomae ndani liwalo na liwe, Jamaa nafsi itamsuta na Watu watamsema. Maisha yataendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimepanga kumfwata huyo jamaa na kaka zangu tunambabanisha sehemu achague moja kutolewa kengele zake au aoe tena ndoa ya kanisani
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wanajua kupika ndio wote ila me kwa shishi sijaingia pale kula .. maana home dada wapo wanapika

Kumbe jifunze na wewe kupika [emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23]moto ampelekee wa nini si atachoma nyumba..hajui kupika

[emoji23][emoji23][emoji23] kenge mweusi wewe ndio maana umeacha na ex wako uku ananisumbua [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom