Wadada jifunzeni kupitia binamu yangu

Wadada jifunzeni kupitia binamu yangu

Write your reply...Kijana embu acha kutulisha matango pori mchana huu, Binamu yako alikuwa mpumbavu kiasi gani mpaka anashindwa kuustukia mchezo baina ya shemeji yako na jirani
 
Habari za mchana natumaini wote mmepata runch pale food point au Kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku Bunyokwa)

Twende kwenye mada

Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.

Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi alimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu

Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hataki kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui kabisa

Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kurudi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asirudi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa natoa

Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhu mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili ajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo

Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni

Yangu hayo
Acha haraka,shusha pumzi kisha elezea vizuri ueleweke.
 
Huyu mwanaume ni mkware tu. Na hii inamaanisha kuwa hawezi kujizuia na wanawake walio karibu naye. Huyu hata akiletwa dada wa kazi hataweza kujizuia.
Kuhusu house girl Usimruhusu mumeo ajaribiwe kupita kiasi. Unajijua u flat screen halafu unaleta house girl mwenye nundu. Anaweza kuvumilia lakini kuna siku atamla tu.
 
Habari za mchana natumaini wote mmepata runch pale food point au Kilimanjaro hotel (utani tu kama kawaida yangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bado karibu ugali na mrenda na mtindi huku Bunyokwa)

Twende kwenye mada

Nina binamu yangu ambaye alipata mimba huko mtaani sasa tukakubaliana wanaume wafamilia kumpeleka huyo binamu kwa mshikaji ambaye amempa mimba.

Tulienda na binamu yangu kwa huyo mshikaji tulipo fika tukaongea nae yule mshikaji hakuwa mbishi alimpokea kwa mikono miwili na akatoa faini laki tatu na nusu

Sasa baada ya kumuacha yule binamu kwa mshikaji mimba ikaaza mtia uvivu hataki kupika anamuita jirani yake wanapika pamoja yule jirani sasa yule bwana akanogewa na pishi la jirani huyu binamu wetu huyu ni kweli hajui kupika nikisema hajui kabisa

Sasa mdogo mdogo yule bwana akanogewa kule kwa jirani sasa alipo karibia kujifungua akabidi aje home kuja kujifungua kakaaa sasa siku ya kutaka kurudi kwake ndipo mwanaume akatuma barua kuwa huyo asirudi tena huku hila matumizi ya mtoto nitakuwa natoa

Sasa analia lia kila siku kisa ujinga wake mimi nilimchana nikamwambia hukutakiwa kuruhu mwanamke mwingine ulitakiwa humzoeshe chakula chako ili ajue pungufu lako sasa wewe umempa jirani apike si ujinga huo

Na hii tabia wadada wengi mnayo jifunzeni

Yangu hayo
Mwanaume akipungukiwa hela kidogo utawasikia feminists wacha asaidiwe na wanaume wenzake kama hawezi kuhudumia mke!!! Haya mwanamke akishindwa kuhudumia mume utasikia mwanamme mkware katelekeza familia nk nk nyingiiii
 
Wadada wengi siku hizi hawajui kupika wanamuachia house girl kila kitu yeye anaenda jikoni kupakua tu ili aweke sumu vitu akumalize hawa maroboti watatumaliza

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom