Wadada jamani badilikeni

dachwa

Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
90
Reaction score
6
Kuna mrembo mmoja alikuwa ni mpenzi wangu tukaja kuachana kutokana na mambo zake za tamaa tu. Ni mwezi wa 4 sasa toka tuachane na tukawa tumekata mawasliano kabisa kila mtu na 50 zake.

Cha ajabu nakushangaza majuzi tu kanipigia simu akidai eti ooh! jamani umetupa jongoo na mti wake,sio vizuri alafu leo siku ya kuzaliwa kwangu hata ujaniambia happy birthday?

Jaman... sasa nini mana yakutaka kila mtu ale 50 zake?
 
kuna watu wana akili ila busara hawana pia kuna watu wana busara ila akili hawana japo wapo wachache wenye akili na busara!
bila kusahau wengi wenye kukosa busara na akili! wewe unafikiri uko wapi hapo? na huyo she wako wa zamani yuko wapi?
 
we nae mshamba tu, sasa ndo unadhan anataka kukurudia au! kum-wish happy birthday ni kitu cha kawaida hata kwa marafiki. kuachana sio kutengeneza uadui.., badilika mwenyewe.
 

Ndo vijana wetu hao wa siku hizi ambao wengi wao hata kuandika insha hawajui
Tz kazi tunayo Waziri wa Elimu upo!!
 
kuna tatizo gani ukiandika vizuri...??!
unatuumiza macho bhana...
 
mo1, 2 ,2temane ,# 2kawa, 2mekata, kbx, m2, 50 2. ume2pa, j. co, cku, ykuzaliw,y m2, 50
HorsePower hebu njoo uniambie hizi zina maana gani mkuu​


 
Last edited by a moderator:
yaani bidada ni hivi mwache kujishaua...yaani msiwe sitaki nataka ebo!

iv uwa mnaangalia upande wa pili wa shilingi ama uwa mnakurupuka tu, is he sure he was perfect mpaka akaletewa mishauo, pengine nae alikua anajifanya mjuaji (c ndo zenu nyie).
 
Aende zake wewe,kujishaua kwa nini? waku-wish wengine huko niache.
 
kuna watu wana akili ila busara hawana pia kuna watu wana busara ila akili hawana japo wapo wachache wenye akili na busara!
bila kusahau wengi wenye kukosa busara na akili! wewe unafikiri uko wapi hapo? na huyo she wako wa zamani yuko wapi?
swali lako nigum afu baya au we unaonaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…