Wadada, hili swali mbona hamliulizi kwa Hingrishy?

Wadada, hili swali mbona hamliulizi kwa Hingrishy?

Lazma uweke msisitizo kwa kiswahili, asije akamwaga akadai alivyoambiwa na kiingereza hakuelewa, ndio maana lugha ya taifa hutumika
wengine tukiwa tunakaribia kumimina uji Ulaya, hata kiswahili kinapotea, lugha ya kueleweka inakuwa ileile ya nyumbani
 
Na wanamaneno Ndugu yangu mwingine kapigiwa simu na bwana yake babe unataka kula nini akajibu fast deboneza pizza "debonairs" jamaa akamwambia babe me siijui spell it demu akacheka then akajibu no love nilikuwa nakudanganya ninunulie KFC
ametisha, duh... pia anataka anunuliwe KFC? Anunuliwe hisa za KFC?
 
Back
Top Bottom