Wadada hawa wametesa sana JF!!

Wadada hawa wametesa sana JF!!

Hii siyo hoja.

Na haiondoi uhalisia kuwa unachuki binafsi na baadhi ya hizo ID za wakina dada.

Alaf wao wala hawana habar na ww.
Wanakukwepa kama ukoma.
Na ndio maana unazidi kusema kila siku hauzijui hizo ID. Ila ukweli unazijua na unataman labda wahangaike na ww. Ila na wao wamedinda 😊😊😊

Ww ukisema hauzijui. Ila Wao hata kuona ID , mada au reply zako hawaioni.
vipofu kabisa ikija ishu inayokuhusu.
Nimekujibu ila naona Mods wamefuta comment yangu,
Nimekutag kwenye hizo IDs ambazo unasema hazinijui,

Usiwe unachukulia comment za watu hapa JF too serious,mimi kusema siwajui haimaanishi siwajui kweli,vitu visivyokuhusu uwe unapita navyo mbali.
 
Back
Top Bottom