jani
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 926
- 1,151
mkuu kama vipi wacheki wale wanaotoa mkopo fasta fasta...wanaweza kukusaidia maramoja!Kwenu wadada mnaopenda kufakamia savanna, msifikiri ni sifa kufakamia mi savanna, hapo mjue mnafakamia mi sukari tu ambayo inahatarisha afya zenu!! Utakuta mdada anafakamia misavana kama ameambiwa kiwanda kinafungwa! Kunywa kwa kiasi 2 hadi 3
Sent using Jamii Forums mobile app