namlexink
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,432
- 939
Picha pleaseeeee....wengine hatuelewi kirahisi...maneno matupu ni sawa na debe tupu haleshi kutikaaaaa.
Picha pleaseeeee....wengine hatuelewi kirahisi...maneno matupu ni sawa na debe tupu haleshi kutikaaaaa.
eeee.....vaeni high heels ili hizo makalio zenu ziwe juu juu kama breki ya ndege.................Msituchoshe na nyie!!! Mwisho mtasema tuvae high heels.
ha ha ha...yani laki niliyokupa jana imeshaisha....!!!Wewe una match boxer na vest???
Embu mtupumzishe bhana
Halafu watu kama wewe wenye maneno mengi ndio huwa hela hutoi, unatoa demands tu. .
Sasa hiyo chupi anatungua kwenye mti?
Toa pesa
hahahah.... eti breki ya ndege.eeee.....vaeni high heels ili hizo makalio zenu ziwe juu juu kama breki ya ndege.................
Laki nayo hela?ha ha ha...yani laki niliyokupa jana imeshaisha....!!!
Naona unavotaka kunitoa road mapema....kumbe laki ni makaratasi...?Laki nayo hela?
Just a blink and its gone
Rangi nyingi kama upinde wa mvuaNa nyie boxer zenye rangi nyiki zinakera!
Duh!! Ningeipata Mimi hii bahati,nngekuonyesha wonders. Huyo ni mpuuzi tena asie jielewa kabisa
cha msingi papuchi nguo mbwembwe tu
That's a transparence night wear if am not mistaken...
Tatizo ni pale unapookoteza wanaumeEtiiii!!! Kam anataka nimechishe aninunulie.
Unakuta mwanaume anataka uvae vizuri lakini mgumu kukununulia ata leso!!!
Du!pandisha tu mkuu ila angalia usipandishie kwenye lami..mana hukawii acha ngozi rodini