milemele
Senior Member
- May 8, 2017
- 117
- 188
naenda kukusemea kwa babaHaya baba endelea kulia hivyo hivyo sawa baba eeee..eheee
naenda kukusemea kwa babaHaya baba endelea kulia hivyo hivyo sawa baba eeee..eheee
naenda kukusemea kwa baba
napiga hivihivi mojamoja sitaki nauli ya mchoyo wa majibuNenda tu usijal.vipi nikuongezee nauli nini teh!!!
napiga hivihivi mojamoja sitaki nauli ya mchoyo wa majibu
Dah mngekuwa watu wasusajikama wewe kumi tu ningefurh mno
Rubii???Inapendeza zaidi kumhudumia umpendae... rubii
Haswaaaa wasipo elewa mwendo mdundo tuunaamini wamesikia, na yule aliye rijali atakua ameelewa
Thumbs up,.hela hawatoi lakini vitu vzr wanavitaka..toeni hela kwanza muone kama hatumechishi,la cvyo tutaendelea kuvaa sidiria za karume na vyupi vya mwenge hamna namna sasa
Na nyie boxer zenye rangi nyiki zinakera!Hakuna kitu kinavutia kama nguo za ndani, hasa zikimechishwa. Sasa unakuta Bra nyeusi chupi nyeupe, mtu unakuwa kama Black and White.
Wadada make sure unapata vitu vinavyo fanana vya ndani. Sio kumechisha Viatu, handbags na rangi za nguo peke yake. Ndani ni muhimu kuliko nje. Anza leo, kama Mume hajapagawa Thank me later.
Hakuna mnyama duniani mwenye mvuto kama Punda milia. Hii ni kwasababu kajua kupangilia rangi zake. Mimi nasema wadada gongeni rangi ambazo zinawapendezesha machoni, mambo ya kuvaa nguo za rangi 1 mwanzo mwisho mmekuwa fire fighters?!
Yani uvae nyeupe tupuuu, umekuwa traffic?!
Etiiii!!! Kam anataka nimechishe aninunulie.Thumbs up,.hela hawatoi lakini vitu vzr wanavitaka..toeni hela kwanza muone kama hatumechishi,la cvyo tutaendelea kuvaa sidiria za karume na vyupi vya mwenge hamna namna sasa
Karibu lunch mumuRubii???
Hahaahha umenipa kicheko mkuu gonga pepsi ntaja kuilipaHakuna mnyama duniani mwenye mvuto kama Punda milia. Hii ni kwasababu kajua kupangilia rangi zake. Mimi nasema wadada gongeni rangi ambazo zinawapendezesha machoni, mambo ya kuvaa nguo za rangi 1 mwanzo mwisho mmekuwa fire fighters?!
Yani uvae nyeupe tupuuu, umekuwa traffic?!