...Ah! wapi ni haya mapapa ya mjini tu yasiyo na aibu Mundu!...Kama wanajua jamaa ana mke tena staff mwenzao na harusi walishiriki si ndio mafisi maji hao!! namshauri tu jamaa akomae asiharibu ndoa yake tena bado changa kabisa!....
Hivyo sie tunaita visungura tope...