Wadada basi hata aibu hakuna??

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,974
1,400
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.

Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...

Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..

Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.
 
Kuna kawimbo ka pwani kanaimba..."wape wape vodonge vyao, wakimeza wakitema, shauri yao"


Ila ngoja kidogo, kale ka mfumo dume kanaanza kwisha nini? Demu anakutokea live...sasa hapo unakuwa unang'ata vidole ama?
 
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.

Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...

Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..

Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.

Hilo ni jambo la kawaida kaka na hiyo ndo sehemu ya kwanza ya majaribio katika maisha yako ya ndoa!
Kama ni kweli big up sana.
 
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.

Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...

Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..

Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.

So uhandsome wako umeutambua ukiwa abroad?
 
Nilimpiga jicho hilo ni balaaa..nadhani walikwenda kuambiana huko wakati wa lunch..
 
haaaaa...nyie ndiyo wale wale tu..mnatongoza vijana hata aibu hakuna..Alafu useme Ukimwi utakuja kuisha sehemu ya kazi,Mie siyo mrahisi kiasi hicho,siwezi kufanya upuuzi huo kwa mwanamke yoyote yule,zaidi ya mke wangu ananiamini na mimi nina mwamini..na sioni sababu ya kutoka nje ya ndoa yangu kama kila kitu napata kutoka kwa mke wangu tunaaishi kwa furaha,upendo na amani..tunajariana na tunachukuliana kwa kila hatua na mapungufu yetu.



Natafuta nini sasa..wanawake wote ni sawa tofauti ni sura,maumbile na kujituma..Ukiangaika sana utapata usilolitegemea...unapteza family yako yote na ndoto zako.mapenzi ni zaidi ya kugonoka..
 
Kuna kawimbo ka pwani kanaimba..."wape wape vodonge vyao, wakimeza wakitema, shauri yao"


Ila ngoja kidogo, kale ka mfumo dume kanaanza kwisha nini? Demu anakutokea live...sasa hapo unakuwa unang'ata vidole ama?
...Ah! wapi ni haya mapapa ya mjini tu yasiyo na aibu Mundu!...Kama wanajua jamaa ana mke tena staff mwenzao na harusi walishiriki si ndio mafisi maji hao!! namshauri tu jamaa akomae asiharibu ndoa yake tena bado changa kabisa!....
 
Mie siyo mzinzi kiasi hicho unajua kuna wanaume inshu kama hizi wanaona hadithi lakini mie na experience nazo zaidi ya mara 6 au 7 hivi kipindi nilipokuwa A'level ilikuwa day school,Chuo pia na kipindi nafanya kazi miaka ya 2009,

Ukiona mwanamke anakutamkia hivyo huyo ni mzizi...atatamani wangapi?kuna watu wengine hawajui kama wanawake huwa wanatamani lakini mie na experience hiyo wanawake huwa wanatamani sana na hasa ukimjari sana zaidi hata mpenzi wake,Mpigie simu,mtie moyo,msaidie,unamuuliza maswali umekula unajisikiaje na mengineyo..utaona jinsi unavyomvuta hisia zake..sasa wanaume wanakimbilia kutongoza au kuwa busy kutafuta pesa na kuonga pesa..
 
Leo nimeingia zangu kazini kama kawaida,mara akaja dada mmoja ameolewa jicho kavu hata aibu hana akasema unajua J yaani mimi. wewe ni handsome na unamvuto wa kila mwanamke humu ndani na kila mdada anakuzungumzia wewe wewe ni chaguo sahihi..ni kamwambia Asante na ninalitambua hilo toka nilipokuwa abroad nikisoma.

Akamaliza,Sasa J.tutakwenda lini wote dinner...nikamtazama nikamwambia si unajua mie nina mke hata miezi sita sijamaliza kwenye ndoa yangu...siwezi kwenda sehemu bila ya mke wangu kujua akajibu..wewe una mke nyumbani na mimi nina mume nyumbani....haaaa alinimaliza nguvu,nikamwambia kama umetumwa aliyekutuma kamwambie umeshidwa..Akaondoka zake huku akijitingisha...

Mchana nikamwita dada mmoja naye tunafanya naye kazi nikamuuliza baada ya kumwelezea kila kitu alichonijibu hata sikuamini masiko yangu.."kila binti humu ndani anakuta sema wanaogopa namna ya kukuanza"nikamwambia asante,message imenifikia...nikawamwambia asanteni mie najua huwa ni masiala tunapotaniana humu ndani ndiyo nikapata picha kamili za kuwa napigiwa simu usiku na sms..nikaachana naye..

Dada zangu naomba basi muwe hata na uso wa aibu yaani unamtaka mtu na huku ukijua kabisa ni mume wa mtu na tena hata kwenye harusi ulikwepo na unajua ndoa yao bado changa mapenzi bado motomoto unaingiza ushetani wako.Tafadhari acheni.

kwikwwiwiwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww hili katika bold lilikuwa na umuhimu kumwambia?
 
sawa handsome boy ulosoma abroad, kitongozwa ni jambo oa kawaida haijalishi kama mtu ameoa au ameolewa.... Hakuna cha kuona ajabu wala cha aibu, jukumu la kulinda ndoa lipo mikononi mwako na mkeo...

Hakuna cha kishangaza hapo
 
pengine dada alikuwa anakujaribu tu ama anakutania na yawezekana alikuwa serious. lakini katika ulimwengu yote hayo yapo na unapaswa kuelewa kuwa yapo. hakuna jipya. shika msimamo wako mpende mkeo epuka vishawishi na ukae navyo mbali kabla hayajakukuta makubwa. hawaachagi hao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom