Wadada baadhi yenu hamna shukrani

Wadada baadhi yenu hamna shukrani

Ujumbe uwafikie lakn mi naamini kila mwanaume lijali limemkuta hili
Duh!inatia hasira sana unajitoa kwa mtu kwa hali na mali mwenzio anakufanya chumaulete hana hisia kama unavyo m feel yeye ila mara nyingi huja kujutia wao coz wengi wao hawana vyanzo vya uchumi ukibwaga manyanga wanaanza kuomba huruma yako.
 
Ukiona mwanamke anakupiga vizinga ujue hakupendi, hiyo ndo silaha kubwa naitumiaga kufukuza ving'ang'anizi tena sio vizinga mzinga mrefu hadi ukiona namba yangu unatetemeka.
Nakuamini kabisa dadangu kwa hilo anayekupenda hata mizinga hutaiona isipokuwa kwenye mambo ya msingi na inaeleweka.
 
Hilo la kusema Ahsante ambayo haina gharama yoyote ni tatizo sugu sana kwa wanawake...

Nilipigwa kirungu na mwanamke kiasi cha kawaida tu nikatuma haraka bila kuchelewa.. akakaa kimya... baada ya masaa kadha nikampigia ili nijue kapata au lah... akanijibu alikuwa mbali na simu atacheki alafu atanifahamisha...

Masaa yakakatika tena... nikasema ngoja nione atafanya nini... nikamtumia mdogo wake wa kike hawajapishana sana umri, kiasi kikubwa zaidi ya dada yake wakati hakuniomba... mdogo mtu akanipigia hapo hapo Ahsante sana ubarikiwe...

Ghafla naona simu ya dada yake... babie umemtumia nini mdogo wangu...

Nikamuliza huo uu babie tumeanza lini??
Hahahahaha ayayaya mamaayangu
 
Asante nashukuru Benny utani utani umenitoa kweli teh,Mungu akubariki,ulipopunguza pakaongezeke mara mia,akakufungulie mlango wa kipato mwaka huu ukawe wa neema.....


Hahahaha....

Quote hii imefanya week end yangu ipendeze hahaha na nikweli unajua kila neno jema la shukrani

Sijui hata nimalizie na neno gani hapa!
 
Mimi nilikuwa na ninayemjali haswaa na sikuwa hata na kazi ni kutafuta tu hela kwa namna mbalimbali ila hakuthamini msaada wangu na alikuwa na uhusiano na Ex wake ambaye aliniambia wameachana.

Nimeamua kuachana naye hivi majuzi ila message zake haziishi kuingia kwenye simu yangu ila msimamo ni huu huu kwasababu keshanichosha,sasa hata afya yangu inarudi kwasababu nilipungua kwaajili yake.

Najipa moyo mabinti wapo wengi tu.
 
Mimi nilikuwa na ninayemjali haswaa na sikuwa hata na kazi ni kutafuta tu hela kwa namna mbalimbali ila hakuthamini msaada wangu na alikuwa na uhusiano na Ex wake ambaye aliniambia wameachana.

Nimeamua kuachana naye hivi majuzi ila message zake haziishi kuingia kwenye simu yangu ila msimamo ni huu huu kwasababu keshanichosha,sasa hata afya yangu inarudi kwasababu nilipungua kwaajili yake.

Najipa moyo mabinti wapo wengi tu.
Ukiwa na mtiririko wa ufahamu na mawazo yenye kupelekea maamuzi kama haya utakuja kuwa tajiri wa mali na hekima hata mm nimepitia uzoefu wako thank God i found my dream girl na am happy and loved.
 
Back
Top Bottom