barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Wewe sio mimi kweli??kuna binti nilimpenda kwa dhati nimetongoza miaka miwili bila hata jibu la matumaini.Nilikuja kumuacha alivo nitamkia haya; "hivi wewe una uwezo wa kunitunza?;una hadhi yangu wewe?,kwa ela ipi ulo nayo?katongoze huko vijijini we sio type yangu"..
Ni kweli nilikua na maisha ya kawaida sana ila niliendelea ku jenga future yangu kwa ku fight na kua na nizamu ya pesa.
Alikua anapenda sana maisha ya juu.Baada ya miaka mitano nimekuja kutana nae ana watoto wawili na kanenepeana kuliko hata shilole.Siku nakutana nae nilikua na girlfriend wangu mzuri tuu sana (namsifia kweli kaumbwa) nikamtambulisha hapo hapo..Eti anasema nime muumiza kwa kumuonyesha wifi yake..Ata sina muda wa kumjibu
huyu ni mm mwenyewe..kaona saivi mambo yangu mazuri eti ndo anataka kurudisha majeshi..nani wa kuanza kulea watoto wa mwengine na ulinikacha kwa dharau??..nimemwambia aniache nipoooze machungu ya kipindi kileWewe sio mimi kweli??
je unazani kipindi hicho wanakuwa tayari kuishi maisha ya ndoaYaani wanawake mngetujua vizuri mngekuwa mnaolewa kipindi cha chuo, yaani hapo first year second hiyo hap, huwa mpo kwenye peak ile mbaya, lakini ndo hivyo maringo yenu nayo ndo huwa yako kwenye peak vile vile, teh!
Yaani mngekuwa mnaolewa ndo mnaendelea na shule
NimemuwakilishaHahaaa,mate nafasi za kina Joseverest hizi!!!
Nina vision njoo tuungqnishe nguvu. Njoo PMNahitaji mtu mwenye vision ili tuweze kujenga financial stability tukiwa pamoja
Link tunafunga ndoa ?? Halafu hutaki kunielewa, why??Kwa hiyo unashauri nini mtoa mada
Njoo tuyajenge mamahatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Unataka tufunge lini? Wewe tu bwana arusiLink tunafunga ndoa ?? Halafu hutaki kunielewa, why??
Njoo PM khantwe pleaseUnataka tufunge lini? Wewe tu bwana arusi
NajaNjoo PM khantwe please
NakusubiriaNaja
Usikatae wachumba kwa umri wako huoKwa hiyo unashauri nini mtoa mada
30yrs!!! Dah umri unazid kukutupa mkono ila ucjal it is a matter of time factorhatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
[emoji23] [emoji23] mimi umri wa kukataa wachumba ulishapitaUsikatae wachumba kwa umri wako huo