Nani awatunze hapo ukiamua labda useme zawadi ila sio eti unamtunza..hujasoma maandiko mwanaume atakula kwa jasho? Sasa na nyie wanawake kujifanya mnataka mpambane na wanaume mle kwa jasho lenu ndo mnakua vibaka.....Na pia imeandikwa wapi ni lazima mpaka mwanamme akupe pesa ndio ujikimu kimaisha?kwamba imekuwa sheria ukilala na mtu au kuwa kwenye mahusiano na mtu basi akupe pesa,basi huo utakuwa Umalaya wa kujiuza mwili na hawa wanaume na wao nani awape pesa za kununua jeans?Au wao hawatakiwi kutunzwa?
Unamuacha kama nsyukaHuyo anaonekana ni tapeli mzoefu, ukimkamata unamnyoa nywele hadi kope akaanze upya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ee unafyeka vyote ashike adabu. Mdada unakuaje mwizi hii ni aibu kubwa.Unamuacha kama nsyuka
Hana kope na nyusi
Ulizingua mkuu.kwann umuonee huruma mwizi..?Kuna mmama alikuja kuiba mitandio dukani kariakoo ila nilimuonea huruma nilimkana aache hio tabia ila skumjazia hata nzi ashukuru moyo wangu uliojaa huruma na imani
huwa wanajitilishaga huruma wakikamatwa but wanakuwa wameshazoea hata hawaonagi aibuKuna mmama alikuja kuiba mitandio dukani kariakoo ila nilimuonea huruma nilimkana aache hio tabia ila skumjazia hata nzi ashukuru moyo wangu uliojaa huruma na imani
Kama ni mchumba au mahusiano yoyote yaliyo serious ni sawa kabisa ila wadada wa siku hizi kudate siku tatu mbili wanataka wahudumiwe kila kitu kuanzia kula,kulala na outing zote .Tumeshajitengenezea kuwa tukilala na wanaume basi tutapata pesa na tunavyovihitaji bila kujua kuwa Malaya sio yule tu anayejiuza usiku mabarabarani au sio tu wale wanajiuza Casino bali hata yule anayetumia mwili wake ili apate kitu.Nani awatunze hapo ukiamua labda useme zawadi ila sio eti unamtunza..hujasoma maandiko mwanaume atakula kwa jasho? Sasa na nyie wanawake kujifanya mnataka mpambane na wanaume mle kwa jasho lenu ndo mnakua vibaka.....
Any way sijakataa kujitafutia ila kama mwanaume wako anaelewa majukumu yake hilo la kumtunza mpenziwe ni jukumu lake...hapa nazungumzia mchumba anaeeleweka..mke na sio wadangaji...
Huyo tayari anadanga best..unajua ukikaa na.mwanaume vzr humuombi ombi hela utakula sana hela zake maana ataona huyu ni mwnamke bora na atachukua mambo yako kama yake..ila kama unavyosema hapo mtu siku ya kwanza tuu mizinga...Kama ni mchumba au mahusiano yoyote yaliyo serious ni sawa kabisa ila wadada wa siku hizi kudate siku tatu mbili wanataka wahudumiwe kila kitu kuanzia kula,kulala na outing zote .Tumeshajitengenezea kuwa tukilala na wanaume basi tutapata pesa na tunavyovihitaji bila kujua kuwa Malaya sio yule tu anayejiuza usiku mabarabarani au sio tu wale wanajiuza Casino bali hata yule anayetumia mwili wake ili apate kitu.
Aiseh mbona aibu hii.Habari zenu,
Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.
Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.
Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.
Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.
Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.
Mtaumizwa…
Halafu unakuta mdada wa hivyo ni pisi ya maana!Habari zenu,
Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.
Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.
Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.
Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.
Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.
Mtaumizwa…
hatariHalafu unakuta mdada wa hivyo ni pisi ya maana!
Kuna kamoja kalikamatwa maduka ya hapa jirani na ninapouziaga majeneza
Kalikuwa kanafanya utapeli kwa wakala wa Mpesa yaani ile michezo ya kujifanya anataka kutuma hela mara amekosea namba sasa siku hiyo akakutana na wajanja zaidi yake ile anataka kukata kona asepe wajanja wakamdaka kumrudisha dukani akapigwa sana mpaka akasema wenzake wote na jinsi wanavyoshirikiana kutapeli !
Kalikuwa kadada flani kamiss kana kifiga karefu hivi kana sura nzuri na vidimpoz yaani ukikaangalia unatamani "kukatafuna" yaani wananchi walikachapa kidogo tu wakakaonea huruma ikabidi waite police ndo wakaondoka nako pamoja na huyo wakala aliyetapeliwa(ila naamini kati ya wale polisi lazima mmoja atakuwa alienda kukapiga mboo)