- Thread starter
- #301
OkSiku hizi wanaume wengi hawaringi kutoa yaani tunajifunza kuhudumia family ila sasa utata unakuja mwanamke akiwa yupo kwenye mahusiano kimaslahi
OkSiku hizi wanaume wengi hawaringi kutoa yaani tunajifunza kuhudumia family ila sasa utata unakuja mwanamke akiwa yupo kwenye mahusiano kimaslahi
Duuuuhhh hiyo kali. Ila si ajabu mashine yenyewe ikawa imejaa majiKuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.
Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"
Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.
Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
Yeah, unakuta wanaringa kumbe mteraDuuuuhhh hiyo kali. Ila si ajabu mashine yenyewe ikawa imejaa maji
Yeah, unakuta wanaringa kumbe mtera
Maradhi yalimuua mkuuDemu wako ameshapona!?
Sasa mkuu hiyo elfu 80 sii ungeenda kwa malaya tuu unajipigia zako kwa raha bila stress. Ukimaliza unaendelea na juhudi za kujikwamua kwenye umaskiniKuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.
Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"
Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.
Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
Naam.Ya tego uliyomrushia!?
Kuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale![]()




Nakazia. Tena viwanawake vifupi vyeusi au vilivyojichubuaWanaojifarijigi wanaanza kujizoesha kutunza familia mpo..........
Duh aiseeNaam.
Kosa liko hapo.Unatoaje pesa kabla ya kula mzigo?!
Heshima yako Mr transporterHilo Swali LA kitoto lisikutishe mzee
Wewe simama hapo hapo ukilegeza umeliwa anakaza Leo na wewe mpotezee utaona anakuja mwenyewe Mfano ni huyu siku ya kwanza alijibu shombo nikakausha Jana tu mwenyewe amekuja anaitaka hela yangu
Yani kaa ukijua hawa wote Malaya tu wanapishana viwango tu
![]()
down View attachment 1573981
ha ha ha hilo jibu murua hata Mimi nasemaga hiviNadondosha mtama ili kuku asogee
dah hii yangu Mimi imenitokea kabisa halafu ipo Kama ya huyu huyu na demu nayy anauza duka baada ya kumpa akaniambia Hana hisia na mimiNi kweli lakini hukupaswa kutoboka kwa mapema kiasi hicho, 80,000/= nyingi sana ata mzigo ujala
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app