Wadada acheni hii kitu

Wadada acheni hii kitu

watu mna hela.

pesa nnayomvumilia mwanamke bila kumla ni buku ya vocha,hata akisema nitume nauli,huwa namwambia kopa utaikuta huku.

mwenye nia hawezi kuacha kuja au atoe visingizio vingine,na namheshimu sana mwanamke anaye keep promise,hata kama ni mchafu huwa namheshimu sana.
 
Kuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale
Sina shaka wewe ni Mzigua...
 
Wazungu ndio wanatoa hela bure?
Ukila hela ya mtu na wewe toa ulichopewa huo ndio uungwana
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....
 
Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.

Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"

Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.

Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
mm huwa natoa hela baada ya kula mzigo,
 
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....
Na nilipanga nimchape katerero hadi atoe machozi
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa'
 
Ukiona hujapewa ujue hajapendezwa na wewe lakini hakuna mtu duniani anachukizwa na pesa, 'Baniani mbaya, kiatu chake dawa' au 'Pesa sabuni ya roho'....
Mnapenda wapaka poda wakati mifukoni hawana kitu kuleni hizo poda zao acheni kuchukua hela za wanaume wa kazi
 
Wanaojifarijigi wanaanza kujizoesha kutunza familia mpo..........
 
Fafanua kidogo hapa unamaanisha nini?
Siku hizi wanaume wengi hawaringi kutoa yaani tunajifunza kuhudumia family ila sasa utata unakuja mwanamke akiwa yupo kwenye mahusiano kimaslahi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom