Kaaaaz kweli
[/QUOTE
Kaka zangu...kazi mnayo....![]()
Mkuu hawa watoto wa Dsm bila ndoano huwapati kirahisiMkuu unaanzaje kutoa pesa kwa hawa wadada wadangaji, binafsi mwanamke akifanikiwa kula pesa yangu nitamtindua vya kutosha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hili ni onyo tu nawapa dunia ina mengiUmeandika kwa herufi kubwa lakini unajua kushiriki Mtungo, adhabu yake ni miaka mingapi Gerezani?
Usijaribu mzee wenzio wanalia kisa tu walidindaHili ni onyo tu nawapa dunia ina mengi
Hela zangu tu zinanishinda kumaliza...naanzaje kutamani za mtu mwingine.Usile hela ya mtu kama humpendi
Shemeji naku aminia....Mimi usinihesabu katika hilo kundi...![]()
Mkiwa na umoja , tutaacha kuwachanganya.Wadada mnatuchanganya sana
Kama vile nami ninavyo kuamini shemeji yangu...Shemeji naku aminia....

mwambie aje geto kuchukua laki.
na akija kavaa pedi yake feki mwambie pedi kila mtu anaweza kuvaa unamuonyesha na wewe umevaa ya mfano.















Ila sio fair chief, kama hela alizoliwa zimeshafika alizokulia, muonee huruma muondoshee huo udhia, mtafute mpe na onyo tu, mwambie "Sio kila mtu, hela yake inaliwa kizembe"Kuna mmoja kala hela yangu kama mara tatu na ikifika siku ya kutoa mzigo hapokei simu, nimempiga tego sasa hivi anatoka damu mfululizo karudi kijijini huko analiwa pesa na waganga na tatizo lipo pale pale![]()
Kosa ndio lilipo anzia, kabla ujala mzigo toa ela ambayo hata ukiipoteza utoumia sio unajifanya ww ndio unazo, mimi ukiomba tu elfu ela ambayo itaniuma nafuta namba naendelea na maishaUnatoaje pesa kabla ya kula mzigo?!
Endelea kudondosha sasa unalia nn, toa tena mpaka mtama udondoke mkuu mbna unakata tamaa mapema.Nadondosha mtama ili kuku asogee
Eti bwanaa😂😂😂😂Unatoaje pesa kabla ya kula mzigo?!
Ni kweli lakini hukupaswa kutoboka kwa mapema kiasi hicho, 80,000/= nyingi sana ata mzigo ujalaMkuu hawa watoto wa Dsm bila ndoano huwapati kirahisi
Wenawe umeonja cha wap hebu nipitie mbaliKwanini unakula hela yangu wakati hutaki kunipa ufa wako?