- Thread starter
- #241
Machangu kuna vitu tunakosa mfano huwezi kupiga deki au kunyonya maziwa kule ni inama niingize tuKama anataka wa hvo awe anaenda kununua machangu just simple and clear
Machangu kuna vitu tunakosa mfano huwezi kupiga deki au kunyonya maziwa kule ni inama niingize tuKama anataka wa hvo awe anaenda kununua machangu just simple and clear
Ndio muende huko sio kutoa tu viji hela vyenu mnataka ngono ujue mapenzi ni hisia zaidi, ka mnaona hela inauma nunueni machangu hayo yakupiga deki mtajiju wallah, sasa hela ndogo tu masimango na wanawake huwa tunajua lohMachangu kuna vitu tunakosa mfano huwezi kupiga deki au kunyonya maziwa kule ni inama niingize tu
Kwani hadi sasa hela zako ulizohonga zinafika shilingi ngapi? Sio unapayuka hapa bure kumbe hela zenyewe hazifiki hata Milioni 2.Only man can understand man
Umemalizia vyema kabisa mkuu!Ubahiri wangu umefanya mke wangu afurahie maisha ya ndoa maana mwaka wa sita huu hajawahi hata kuhisi tu nina mchepuko maana nikitongoza mwanamke kabla sijapata mzigo ananiomba hela safari yangu huishia hapohapo,
Umefika wakati nikajisemea moyoni "siwezi kununua mbunye wakati ndani ipo"
Ubahiri wangu umefanya mke wangu afurahie maisha ya ndoa maana mwaka wa sita huu hajawahi hata kuhisi tu nina mchepuko maana nikitongoza mwanamke kabla sijapata mzigo ananiomba hela safari yangu huishia hapohapo,
Umefika wakati nikajisemea moyoni "siwezi kununua mbunye wakati ndani ipo"
Umesoma thread?Kwani hadi sasa hela zako ulizohonga zinafika shilingi ngapi? Sio unapayuka hapa bure kumbe hela zenyewe hazifiki hata Milioni 2.
Mimi binafsi napenda kuhonga na nitaendelea kuhonga huyu mjinga mmoja hawezi nikatisha tamaa. Wapo w/ke wengi ukiwapa hela wanalipa fadhilaHata nyie mna utamu wenu....tatizo mnahisi utamu wetu ni wa kununuliwa....😉😉🙃🙃
Please in whatever reason, don't exhaust someone wealth if you are not ready to offer u'r treasureA girl is smart a boy is dirty,is there true Love?
Kama aliomba hela na akaahidi atatoa show?Kwani lazima ukitoa hela akupe papuchi yake mliandikishiana kisheria juu ya Hilo?
Kulitaka mwanaImeandikwa samehe saba mara sabini.
Sawa sawaKama aliomba hela na akaahidi atatoa show?



Kuna dada nilikutana naye mtaani nikaona anafaa kwa chakula. Nikamwomba namba nikawa nachati naye kama mwezi hivi nikaweka ombi langu akakubali. Issue ikawa kutoa mzigo kila mkipanga ratiba anarukaruka tu.
Kuna siku akawa na shida ya laki 1. Nikasema nampelekea bila ya taarifa dukani kwake. Nilipofika sikumkuta ila nilikuta wadada wawili. Nikawaambia naondoka akirudi mtampa taarifa. Ukweli sikuondoka nikatulia nje ila wao hawajui. Nikasikia " MASKINI HUYU KAKA ANALIWA HELA ZAKE NA MZIGO HATAPEWA"
Nilistuka nikiwaza hela niliyotoa ndani ya huo mwezi sio chini ya 80,000/=
Kimya kimya nikaondoka na laki yangu, 20000 nikachoma mbuz iliyobaki nikamtumia mama kijijini.
Tahadhari:
WANAUME WENGINE HELA YAO HAILIWI KIRAHISI. MIMI NIMEPOTEZEA ILA SIO KILA MTU ANAMWACHIA MUNGU. MTABAKWA AU MTAPIGWA MTUNGO AU KUFANYIWA KITU KIBAYA. USILE HELA YA MTU KAMA HUMPENDI.
Wapo wanaokubali kutoa bila ya chochote?Mimi hata akiniomba vocha ya buku 5 situmi. Nimeshawasoma kitambo sana hawa viumbe. Mpaka nile mzigo ndo naweza kuanza kuachia vijisenti vyangu
Wana maneno matamu wakitaka kukuingiza king.Yeye: Mdau Mambo!
Mimi: Poa! Mnaendeleaj Pande hizo mdau?
Yeye: Tuko poa, ila huwez amini nimekumis balaa. Ninahamu na wew mpka genye zinakaribia kumwagika zenyewe!
Mimi: Hahahahah, umefanya mguu wangu tatu ume
Yeye: Kwani unarudi lini?
Mimi: Ijumaa wikii ijayo mdau!
Yeye: Poa mdau!
Jumatano ya wiki ninayotarajia kurudi!
Yeye: Mdau Safari ipo?
Mimi: Ipo mdau!
Yeye: Uje kweli Mdau, maana nimechoka kuwa najifuta ute kila wakati!
Mimi: Sawa mdau, usijali Ijumaa Uhakika!
Yeye: Sasa, naomba unitumie 50, ya maandaliz na kusuka basi ili nipendeze!
Mimi:
Yeye: Mbona unacheka mdau!
Yeye: Mdau mbona Kimya!
Yeye: Mdau!
Yeye: Jamani mdau!!!
Ila mnatutoa sadaka ndio shukrani zenuWapo wanaokubali kutoa bila ya chochote?
Sasa siku akiingiza kwenye kumi na nane utakolezewa moto huo hadi utoe machoziSio udhaifu wenu kutupenda saa nyingine huwa tunapima uvumilivu wenu ukoje ndio maana
Sasa siku akiingiza kwenye kumi na nane utakolezewa moto huo hadi utoe machozi

