Wadada above 30


Mmmmn na ma senior bachelors je???....unawaongeleaje mkuu maana hapa umelenga upande mmoja.....huyo wa kwako hatafikisha 30....
 
Acha uongo wewe...jinsi ulivoandika unaonekana kabisa kwamba una msongo wa mawazo lini na we utaolewa japo kwa wiki afu uachike uendelee kula mipombe yako na kusema niliolewaga

Mwenye msongo wa mawazo ni wewe unayekuja na stress zako na kutukana watu JF!

Nimeshakuambia nikiolewa poa,nisiolewe pia poa,kataa kubali..HUNISUMBUI....eti niolewe kwa wiki,ili iweje sasa?!
 
Kwani lengo la ndoa si ukazae na menopoz inaanza 45!!! sasa mbona hao 30s bado wapo eligible kabisa
 
I couldn't agree more
 
Nitampeleka makorora aka dunia hotel tukale uwono fest kilasi

Bomba sana katibu wangu......Ndiyo maana wewe ni jembe...

By the way, nimeambiwa kuwa mgeni wetu hajafikisha 30!! (Take note katibu, na wajulishe wajukuu wengine)!!
 
N
Bomba sana katibu wangu......Ndiyo maana wewe ni jembe...

By the way, nimeambiwa kuwa mgeni wetu hajafikisha 30!! (Take note katibu, na wajulishe wajukuu wengine)!!

Hilo halina taabu Mwenyekiti, Michelle yuko kwenye mikono sahihi kama ya Obama vile
 
Last edited by a moderator:
Mnachagua saanaaa... Punguzen vigezo na muwe wanawake wa kwl.
Kuna wimbi kubwa sana la wadada wanao tafuta mimba jijini dar. Sijui km nao ni kundi hili
 
Bomba sana katibu wangu......Ndiyo maana wewe ni jembe...

By the way, nimeambiwa kuwa mgeni wetu hajafikisha 30!! (Take note katibu, na wajulishe wajukuu wengine)!!

He he he he he,bibi alinifundisha last time nilipokuwa hapo kuwa girls don't tell their AGE na ikibidi then minus 3 ndo useme ni miaka yako. Sababu hakunipa ila kwa kuwa bibi ana nia safi na mimi bila kuhoji natii ushauri wake....!! 😛opcorn:
 
N

Hilo halina taabu Mwenyekiti, Michelle yuko kwenye mikono sahihi kama ya Obama vile

Nitake nini mimi dunia hii,asante sana Babu DC hakuna kitu kizuri kama mwanaume anayeamini mikono yake ni salama na yuko tayari kutunza binadamu mwenzie kwenye mikono hiyo salama....wenye hela na wazuri wako wengi ila wenye mikono salama ni wachache sana dunia hii....happy!
 
He he he he he,bibi alinifundisha last time nilipokuwa hapo kuwa girls don't tell their AGE na ikibidi then minus 3 ndo useme ni miaka yako. Sababu hakunipa ila kwa kuwa bibi ana nia safi na mimi bila kuhoji natii ushauri wake....!! 😛opcorn:

Halafu umeona kuwa babu hajataja figure?

Kwa uzoefu wangu kutaja umri wa binti au mwanamama ni sawa na kumwambia kuwa huna hamu naye...

How can I do that to Michelle?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Hayo mabusara umeya-copy kutoka wapi mjukuu wanangu?

Rest assured, Katibu wetu na Tanga team ni watoto wazuri sana ambao wamewekewa mikono na Babu..

cc: Mwanyasi
 
Last edited by a moderator:
Halafu umeona kuwa babu hajataja figure?

Kwa uzoefu wangu kutaja umri wa binti au mwanamama ni sawa na kumwambia kuwa huna hamu naye...

How can I do that to Michelle?

Babu DC!!


Nimeona Babu,figure ibaki tu kuwa unknown,manake haishindwi kuwa kisababu...umri ni kitu muhimu but kisiwe determinant ya kila kitu jamani duh,mpaka watu wanaenda kujirudisha miaka kumi na moja nyuma....the struggle is real.
 
Hayo mabusara umeya-copy kutoka wapi mjukuu wanangu?

Rest assured, Katibu wetu na Tanga team ni watoto wazuri sana ambao wamewekewa mikono na Babu..

cc: Mwanyasi

Shule ya maisha Babu....utu uzima umetufundisha mengi...na bado tunasoma tu mpaka mwisho wa safari,ukikosea huachi wenzio watumbukie unawapa uzoefu wao waamue...na sisi tunapokea uzoefu tunaamua chagua kutetembea,kimbia,kuruka au kusimama.

Wanasema mtu mwenye busara ni yule anayejifunza na makosa ya wengine sio kila kitu lazima utumbukie ndo uelewe.
 

mungu awaone dada zangu😛anda:
 
Poleni sana. Kumbe mnapata taabu hata nafsini mwenu? Teh teh teh!!

Ulikutana na waoaji toka upo 18 ukawaona washamba, sio ma-HB, hawana pesa nyingi wala gari, kwao Sigimbi, wanakaa uswazi, hawana kaz nk.. Ukawapenda machekbob wakakutumia weeeee!! Sasa ulowazarau leo mambo safi unajileta unachapwa wanasepa unalalama!!

Zeeka ka bi Kidude hivohivo msanii had uzeen.. Eti sista Duu, na hufi hadi uzeeke single!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…