Wadada above 30

Michelle upo bidada unapotea hasa why?
 
Last edited by a moderator:

Kiruuuuu niliyafanya hayo zamani!
......nilijishusha sana na mwisho tulienda separate ways, kubalini na nyie huwa mnajisahau na kumuona zoba mtu anayewaheshimu....mie mtua kumpikia fulia hapana,yeye ni abled man!....nitaowana na sio nitaolewa,hayo mambo niliyafanya zamani nimegundua its not worth it!....kama sitaolewa tena basi ni matakwa ya muumba...ila sitalazimisha ndoa.....
 
Watuache bana kila jambo na wakati wake.
 
Binafsi nawapenda sana hawa wadada wa age hiyo tajwa, kwanza mara nyingi huwa wako real na wameshaachana na maisha fake ya wasichana wengi wamjini wa age ya chini yao. Hawa wanayajua maisha, wanajua athari za kuchepuka na kutendwa katika mahusiano, yaani ni vile tuu sijakutana na ninaemuhitaji maana huwa nawaheshimu sana na sitaki kuwa sababu ya kuumia kwao ila ningetangaza ndoa fasta. hawa wadada nawakubali saaana
 

Unataka kuifufua JF/MMU Eiyer??

Kanitafutie ndugu yangu Bishanga kwanza...lol!!

Karibu tena Michelle!
 
Last edited by a moderator:


Umejipa likizo mkuu??

Halafu hizi hadithi zimetokea wapi? Mbona babu hajaletewa mashtaka yoyote kama kweli kuna wajukuu wananyanyapaliwa??

Karibu sana kwa bibi...

Babu DC!!
 

LAANA! Kundi linaongezeka sababu ya elimu enzi hizo mwanamke hakupewa fursa ya kusoma wala kuchagua mchumba. Ukivunja ungo ushakua mwali ready 4 marriage. Now, tunajtambua nina haki ya kuchagua, kukubali na hata kukutaa. I remind u, sio kila mvaa suruali aliyepevuka anafaa kuwa mume. Starting with wale wenye mtazamo kubandka LAANA sizokua na kichwa wala miguu.
 
Your life

Yoyr rules

Your ways

Ukisikiliza ya watu utaumia


Afterall si kila mtu ataoa au ataolewa...
 
Duu
Kazi ipo. Tunakoelekea sio kabisaaaaaa
 
Ukiwa 30+ pia inakuwa bomba zaidi. Isije kuwa we mwenyewe mwathu uko na 25 afu unatafuta 30+. Yatakuwa maji marefu afu utashindwa kuyaoga
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwelewa,nikisema am above 30 haimaanishi sijawahi kuwa kny mahusiano,nimekuwa na wanaume sema tu sijampata 'potential candidate',,,,,wa kuwa mume wangu ambaye tutakuwa compartible in bed,na baba bora wa familia yangu...

hongera! Kisambaze tu, c umepewa bure.
 
Mkuu inabidi tuanzishe maandamano kama ya UKAWA chini ya katibu wetu babu Asprin ....lol!
Hii imeingia kwanye hansard

CC: MwanajamiiOne, Askofu, carmel, King'asti, Kongosho, Nyamayao, Dena Amsi, LD, FirstLady1, JS, Kaizer, NGULI, Teamo, RR Fidel80, GY, Bigirita, Dark City, Mbu, klorokwini, Preta, Lily Flower, PakaJimmy, sweetlady, Kabakabana, Baba_Enock, afrodenzi, Michelle, Lizzy, AshaDii, Roulette, Zion Daughter, bht, Nyani Ngabu, Bishanga, EMT, cacico, KARIA, gfsonwin

Endelea na wengine paroko Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Sikupendi kama zamani. Sijui kwanini...😛hoto:

umeni miss tu sio kwamba hunipendi....hata mi kuna wakati naona hivyo ila nakuja kugundua hakuna mwingine....nimerudi mdogo mdogo na nafurahi mnooo nawe leo umepita hapa....you are missed sanaaa and LOVED!

NB: Kwa umri huu usije ukajaribu kunipotezea,naanza mid life crisis na nahitaji upendo....lol
 
Hapo red: Hakyamungu wala hata sithubutu.
Hapo Blue: Am humbled!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…