wachumba zangu wana sura mbaya

wachumba zangu wana sura mbaya

ma jery

Senior Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
171
Reaction score
65
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
 
kwani baba jery ana shida gani hadi utafute wachumba wengine?
 
unawatoa wap hao? unafaa uje kwa watu kama mimi.mahandsome yan ata tukizaa watoto wanakuwa gumzo kwa mtaa.na dunia.
 
Hahahaaa.........., kuna handsome boy wa ukwee mtaani kwetu ila hana kazi nadhani atakufaa kwa matumizi ya nyumbani na ndoa pia!!!!!!
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

kwani shost vipi........?....hata pesa pia hawana........?
 
Hahahaaa.........., kuna handsome boy wa ukwee mtaani kwetu ila hana kazi nadhani atakufaa kwa matumizi ya nyumbani na ndoa pia!!!!!!
nazungumzia husband material ila awe na sura nzuri
 
Kuwa na subira utampata mchumba atakayekufaa. Kama sifa fulani ni muhimu kwako bora uheshimu moyo wako maana maisha ya ndoa ni safari ndefu yenye misukosuko. Ni vema kuridhika na mtu wako kabla ya kuoana naye hapo ndipo utakapoweza kuvumilia mapungufu utakayoyagundua baadaye ndani ya ndoa.
 
Back
Top Bottom